Hii ya Zari na Boss wa TP Mazembe Moze Katumbi imekaaje?

Pesa ndo kila kitu!
Nyie jitahidini sana kuwakojoza mwisho wa siku sie wenye senti tutawafanyia shopping we na dem wako!
We mkojoze sana tu ila mie ndo nakupangia mda wa kuwa nae!
Moise katumbi acha kula sijui pweza we toa mshiko tu "baba vikima" aendelee kuwakojoza wayaru
 
Na kwenda gym kutengeneza Six pcs
 
Kuna mdada humu alisema wenye mafeza yao huwa hawana mda wa kucoment kabisa ukiona mtu anacoment hovyo hovyo halafu anajifanya ana hela ujue huyo ni KAPUKU tu.....Niemnukuu tu mzee baba.
Usikute bado anajaza choo cha shemeji yake πŸ˜‚
 
Apo sasa vijana wa dar wanafurahia sana umbea raha utafikiria wanatekenywa ukooo back.
 
hahaa una mkojoza then akitoka hapo anaanza kujisikia njaa mtu mzima kumbe hata nauli huna
 
[emoji3][emoji3]
kwamba anashindana na dada yake kukatisha msalani hahaha.

Ila mzee baba hizi stori muulize wife kwamba vipi zari kwasasa yupo na nani? hayo ndiyo mambo yao.
Hata wewe unazipenda ndio maana umefungua na kukomenti hii Sred
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…