Hii ya Zari na Boss wa TP Mazembe Moze Katumbi imekaaje?

Hahahaaaa halafu wamejenga maghorofa,wanafanya biashara kubwa kubwa au kama kaajiriwa basi anafanya kazi UN mshahara milioni 10 kwa mwezi,watoto wanasoma intaneshino efemu akademia,likizo wanaenda kupumzika kwa wazazi USA na UK.
Na magari wanazomiliki sio Toyota, ni BMW,Benz,Audi,Range,n.k
 
Huyu ndio saiz yake sasa aache kuangaika na vijana wasiojielewa
 
Mkuu mimi sio mmoja wao
Hahahaaaa halafu wamejenga maghorofa,wanafanya biashara kubwa kubwa au kama kaajiriwa basi anafanya kazi UN mshahara milioni 10 kwa mwezi,watoto wanasoma intaneshino efemu akademia,likizo wanaenda kupumzika kwa wazazi USA na UK.
 
Haya maswala ya kuonea wivu watu kwa wanaume haifai
 
Pole mdomo bakuli inaelekea kitandani perfomanbe zero, mimi wangu mbona ananikojoza sana yaani kojoo kama lote na pesa siyo sent kama zako naongelea pesa hapa anazo za kumwaga.
Jitahidi mkuu uwe fit sector zote
amu....... tafadhali huo mkojo usiturukie hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…