Hii Yanga ya Zahera imeanza kunipa wasiwasi

Tabu kocha wetu juaji sana bana.
 
Huyu kocha wetu aliwaza nini kumuacha T. Kamusoko aliyecheza AFCON na Zimbabwe na kuleta magalasa? Kwa nini asirudishwe fighter Chirwa na hata David Luhende?
 
Huyu kocha wetu aliwaza nini kumuacha T. Kamusoko aliyecheza AFCON na Zimbabwe na kuleta magalasa? Kwa nini asirudishwe fighter Chirwa na hata David Luhende?
Sio muda wa lawama mkuu.. ni muda wa kuwatumia vzr wachezaji waliopo.
Kocha atilie mkazo kwenye ushambuliaji tu
 
Zahera uwezo mdogo. Hakuna kocha bogus kama yule anayefundisha kupaki basi, huyo sio kocha na Zahera is one of them. Bure kabisa.
 
Zahera uwezo mdogo. Hakuna kocha bogus kama yule anayefundisha kupaki basi, huyo sio kocha na Zahera is one of them. Bure kabisa.
Hata mimi nimeanza kuamni. Washambuliaji wote aliosajili hawajafunga hata goli moja la 'move'. Yaani....
 
 
Zahera uwezo mdogo. Hakuna kocha bogus kama yule anayefundisha kupaki basi, huyo sio kocha na Zahera is one of them. Bure kabisa.
wewe haujui mpira na mnaendeleza kampeni zenu za kumchukia zahera ...mashabiki wa simba mnakwama wapi..UD SONGOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Broo hapo kwa makambo, Kwan aliuzwa au tulinyang'anywa. Makambo hakuwa mchezaji wetu wa kumnunua ila alikija yanga kwa mkopo na tulishindwa masherti ya kumnunua makambo. Yanga haijamuuza ila klabu yake ilimuuza makambo
 
Broo hapo kwa makambo, Kwan aliuzwa au tulinyang'anywa. Makambo hakuwa mchezaji wetu wa kumnunua ila alikija yanga kwa mkopo na tulishindwa masherti ya kumnunua makambo. Yanga haijamuuza ila klabu yake ilimuuza makambo
Ila kocha angeomaa klabu ingetoa fungu abaki, hawa waliopo ni watalii tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…