gammaparticles JF-Expert Member Joined Jan 9, 2024 Posts 1,407 Reaction score 3,855 Aug 17, 2024 #1 Kumbe kuna vyuo vinazidi hata ada ya IST Tanganyika NDC | Maelekezo ya Kujiunga na Chuo Chuo cha Taifa cha Ulinzi kilianzishwa mwaka 2011, NDC ndicho chuo kikuu cha mafunzo ya kimkakati na taasisi kuu ya mafunzo ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. | Maelekezo ya Kujiunga na Chuo www.ndctz.go.tz
Kumbe kuna vyuo vinazidi hata ada ya IST Tanganyika NDC | Maelekezo ya Kujiunga na Chuo Chuo cha Taifa cha Ulinzi kilianzishwa mwaka 2011, NDC ndicho chuo kikuu cha mafunzo ya kimkakati na taasisi kuu ya mafunzo ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. | Maelekezo ya Kujiunga na Chuo www.ndctz.go.tz
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 33,679 Reaction score 49,841 Aug 17, 2024 #3 Hiyo ada halipi muhusika, bali analipiwa na ofisi
Pang Fung Mi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2022 Posts 6,653 Reaction score 13,919 Aug 17, 2024 #4 Duuh Uchawi huo sio ada
doup JF-Expert Member Joined Feb 26, 2009 Posts 2,706 Reaction score 2,861 Aug 18, 2024 #5 Kuna mwanamziki sikumbuki nani aliimba ".🎶...kama elimi ghalama jaribu ujinga....🎶" Labda ni rare knowledge/ talent wanafundisha, ukitoka hapo ni swala la muda tu unaingia kwenye mfumo wa upigaji.
Kuna mwanamziki sikumbuki nani aliimba ".🎶...kama elimi ghalama jaribu ujinga....🎶" Labda ni rare knowledge/ talent wanafundisha, ukitoka hapo ni swala la muda tu unaingia kwenye mfumo wa upigaji.
S Statistics JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 3,666 Reaction score 7,788 Aug 19, 2024 #6 Wanadoma mameja jenero!!
Forest Hill JF-Expert Member Joined Mar 4, 2018 Posts 2,873 Reaction score 6,821 Aug 19, 2024 #7 doup said: Kuna mwanamziki sikumbuki nani aliimba "....kama elimi ghalama garibu ujinga...." Labda ni rare knowledge/ talent wanafundisha, ukitoka hapo ni swala la muda tu unaingia kwenye mfumo wa upigaji. Click to expand... Ramadhan Masanja(Banza stone) RIP
doup said: Kuna mwanamziki sikumbuki nani aliimba "....kama elimi ghalama garibu ujinga...." Labda ni rare knowledge/ talent wanafundisha, ukitoka hapo ni swala la muda tu unaingia kwenye mfumo wa upigaji. Click to expand... Ramadhan Masanja(Banza stone) RIP