Hiki Chuo kinafundisha nini kwa hii ada

gammaparticles

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2024
Posts
1,407
Reaction score
3,855
Kumbe kuna vyuo vinazidi hata ada ya IST Tanganyika


 
Kuna mwanamziki sikumbuki nani aliimba ".🎶...kama elimi ghalama jaribu ujinga....🎶"

Labda ni rare knowledge/ talent wanafundisha, ukitoka hapo ni swala la muda tu unaingia kwenye mfumo wa upigaji.
 
Kuna mwanamziki sikumbuki nani aliimba "....kama elimi ghalama garibu ujinga...."

Labda ni rare knowledge/ talent wanafundisha, ukitoka hapo ni swala la muda tu unaingia kwenye mfumo wa upigaji.
Ramadhan Masanja(Banza stone) RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…