Hiki hapa kifaa kipya cha Simba kutoka Zambia chatua nchini!

Hiki hapa kifaa kipya cha Simba kutoka Zambia chatua nchini!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
wp_ss_20170616_0007.png
 
Ukiangalia vizuri, macho yake yana unjano kwa mbali na nywele/rasta/oman hair zina traces za njano, hii ikoje?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Itabidi apitie kwa nyoso maana nae nasikia kamaliza adhabu yake ya kupapasa wenzake
 
Huyu mbona kama mdogo wake Bosu wanga, na hata nywele zake kaweka njano.
 

Makao Makuu ya wapi ?
Hata Blagnon si mliambiwa eti Arsnenal wanamtaka alivyo mpiga mabao!! Ona mara ngapi alikuwa ndani ya 18 players. Usanii tuu mnaliwa lkn bado mnashangilia upuuzi !!
 
Back
Top Bottom