Hiki hapa kikosi kipya cha taifa stars; Ajibu ndani

Hiki hapa kikosi kipya cha taifa stars; Ajibu ndani

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253
Taifa.jpg
 
Manyika junior! Haka kajamaa uwezo wake wa kawaida sana! Wapo walinda mlango wengi wazuri ambao wangeweza kumsaidia Aishi endapo atakuwa majeruhi
 
Bado tuna safari ndefu sana kama Taifa! Ila tutafika tu!
 
Nimehesabu hapo kuna wachezaji 21.
Katika hao 21 Wachezaji Waislamu wako 18.
Watatu tu waliobaki ndio Manaswara.
Daaah... Waislamu wako juu aisee...
 
tatizo huyu kocha hazunguki kuangalia wachezaji, mpaka sasa hivi hajapata wachezaji wa kudumu taifa stars kila anapotangaza timu kuna sura mpya nyingi.Timu ya taifa inabidi iwe na wachezaji waliokaa na kuzoeana muda mrefu
 
Back
Top Bottom