Hiki kidude kinaitwaje na kinachezwa vipi?

Hiki kidude kinaitwaje na kinachezwa vipi?

Yes iam

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
258
Reaction score
370
Niaje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtoto mzuri Shani.

Pita pita zangu nikakuta hiki kidude kibarazani kwa Mzee Limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jinsi ya kupanga hivyo virangi.

Anaejua jinsi ya kucheza anipe mautundu.

IMG-20191222-WA0009.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
N aje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtt mzuri Shani,,,

pita pita zangu nikakuta hichi kidude kibarazani kwa mzee limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jins ya kupanga hivyo virangi

anaejua jins ya kucheza anipe mautunduView attachment 1300601

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kukimbia mkuu mana hicho kidude ni ki jumanji, ukicheza vibaya unakaribisha wanyama wa kila aina tena wale wakali wakali.
 
images (1).jpeg

Wakuu na Mimi nimemuokota huyu kimwana,anaejua jinsi ya kumchezea anipe mautundu😜😜😜

Michezo ya akili hufumbuliwa kwa kutumia akili,ilazimishe akili yako itatuwe ukishindwa warudishie wenyewe wakakuelekeze😜😜
 
Mtuvumilie ndo vijana wenu sie,, kama unakijua jina na njia rahis ya kupanga nielekeze mzee Allen

Sent using Jamii Forums mobile app
miongoni mwa magwiji wa mchezo huo alisema njia rahisi ya kucheza ni kuzipa hizo rangi namba ama herufi. Kwa mfano unaweza kuipa rangi ya Njano herufi "Y" kuwakilisha neno "Yellow" Herufi "R" kuwakilisha neno "Red" rangi nyekundu, Herufi "B" kuwakilisha neno "Blue" rangi ya bluu na herufi "W" kuwakilisha neno "White" rangi nyeupe.

Kila upande una sehemu 9. Kwa ivo kwa kujua huo mfuatano utajua ni wapi rangi gani inatakiwa kupelekwa. Huo mchezo unahusisha kasi ya mikono na umakini wa akili.
 
Back
Top Bottom