Yes iam
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 258
- 370
Niaje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtoto mzuri Shani.
Pita pita zangu nikakuta hiki kidude kibarazani kwa Mzee Limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jinsi ya kupanga hivyo virangi.
Anaejua jinsi ya kucheza anipe mautundu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pita pita zangu nikakuta hiki kidude kibarazani kwa Mzee Limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jinsi ya kupanga hivyo virangi.
Anaejua jinsi ya kucheza anipe mautundu.
Sent using Jamii Forums mobile app