Hiki Kigari Suzuki Swift nimekiona kina Uongo fulani tofauti na Nyenzie

Hiki Kigari Suzuki Swift nimekiona kina Uongo fulani tofauti na Nyenzie

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nimetoka Airport nikawa nimeingia mandela road nimekamata hii barabara mpka riverside mbele yangu Kilikuwepo kigari kidogo aina ya Suzuki Swift. Aiseee huyu jama kakiwekea Uongo fulani hiki kigari mpaka nikawa nacheka. Gari inanesa utadhani Range Rover au Prado Mayai ninayoiendesha.

Akipunguza mwendo kinabonyea kikipanda hata kamwinuko kadogo kwenye lami kinanesa nesa mpaka mtu unaweza cheka kuwa kinazidisha si kwa kunesa kule. bahati nzuri tumekuja fika darajani ikawepo Suzuki Swift nyingine, zote nimeziacha mbele yangu makusudi ili niweze observe hiki kigari.

Hii nyingine ya blue haikuwa ikinesa kama hiki kingine ambacho nimekuwa nikiongozana nacho toka External. hiki cha kwanza kinanesa sana..... yaani kinanesa mpaka mtu unasema huu uongo umetiwa chumvi si kwa kunesa huko... kinatembea kama kinacheza reggae . swali langu likawa atakuwa amekifanya nini? ameongezea nini?

Sababu kiukweli kinaburudisha sana hata kukiangalia jinsi kinavyonesa. hakikutofautiana sana na Prado Mayai nliyokuwa naendesha. tena nahisi kama kalizidi maan akipunguza mwendo kidogo kanakuwa kama kanainama mbele kukubali kuwa sawa kanapungua. akiongeza mwendo kanashuka nyuma mbele kanainuka huku kakinesa nesa. pia niligundua kalikuwa kamenyanyuka kidogo. si sana.

Wadau hiki kigari kitakuwa kimeongezewa nini kinachofanya kinese nese namna hiyo?
 
Ulikuwa unakapiga 'Doggy' hako ka Suzuki Swift kenye madoido?
 
Binafsi sifahamu hiyo gari kuhusu suspension zake amefanya nini, ila kipindi cha zamani mzee wangu alikuwa anatumia pajero.

Hii pajero ilikuwa na electric suspension unayoweza kuiset kati ya Hard, Normal na Soft. Ukiweka hard suspension inakuwa ngumu kweli kweli japo sio ugumu ambao utaweza kulala nayo kama gari ya mashindano. Ukiweka normal inabehave kama gari ya kawaida inavyotakiwa iwe yaani nothing special. Sasa ukiweka soft yaani kajimwinuko kidogo au ukimaliza kupanda tuta ule mneso wake unakuwa balaa, yaani gari linaendelea kunesa sekunde kadhaa tofauti na kawaida tena mneso mkubwa hasa.

Kuna siku jamaa alikuwa anaifuata kwa nyuma mitaa ya namanga ikabidi aisimamishe aulize gari imekuwaje inamneso kuliko kawaida naye ajaribu kufanyia manuva prado yake. Ubaya wake ukiwa speed zaidi ya 100km/h unahisi gari linataka kukutupa kama si kukuua kabisa kama barabara haiko smooth.
 
Nimetoka Airport nikawa nimeingia mandela road nimekamata hii barabara mpka riverside mbele yangu Kilikuwepo kigari kidogo aina ya Suzuki Swift. Aiseee huyu jama kakiwekea Uongo fulani hiki kigari mpaka nikawa nacheka. Gari inanesa utadhani Range Rover au Prado Mayai ninayoiendesha.

Akipunguza mwendo kinabonyea kikipanda hata kamwinuko kadogo kwenye lami kinanesa nesa mpaka mtu unaweza cheka kuwa kinazidisha si kwa kunesa kule. bahati nzuri tumekuja fika darajani ikawepo Suzuki Swift nyingine, zote nimeziacha mbele yangu makusudi ili niweze observe hiki kigari.

Hii nyingine ya blue haikuwa ikinesa kama hiki kingine ambacho nimekuwa nikiongozana nacho toka External. hiki cha kwanza kinanesa sana..... yaani kinanesa mpaka mtu unasema huu uongo umetiwa chumvi si kwa kunesa huko... kinatembea kama kinacheza reggae . swali langu likawa atakuwa amekifanya nini? ameongezea nini?

Sababu kiukweli kinaburudisha sana hata kukiangalia jinsi kinavyonesa. hakikutofautiana sana na Prado Mayai nliyokuwa naendesha. tena nahisi kama kalizidi maan akipunguza mwendo kidogo kanakuwa kama kanainama mbele kukubali kuwa sawa kanapungua. akiongeza mwendo kanashuka nyuma mbele kanainuka huku kakinesa nesa. pia niligundua kalikuwa kamenyanyuka kidogo. si sana.

Wadau hiki kigari kitakuwa kimeongezewa nini kinachofanya kinese nese namna hiyo?
Bila picha mkuu
 
Nimetoka Airport nikawa nimeingia mandela road nimekamata hii barabara mpka riverside mbele yangu Kilikuwepo kigari kidogo aina ya Suzuki Swift. Aiseee huyu jama kakiwekea Uongo fulani hiki kigari mpaka nikawa nacheka. Gari inanesa utadhani Range Rover au Prado Mayai ninayoiendesha.

Akipunguza mwendo kinabonyea kikipanda hata kamwinuko kadogo kwenye lami kinanesa nesa mpaka mtu unaweza cheka kuwa kinazidisha si kwa kunesa kule. bahati nzuri tumekuja fika darajani ikawepo Suzuki Swift nyingine, zote nimeziacha mbele yangu makusudi ili niweze observe hiki kigari.

Hii nyingine ya blue haikuwa ikinesa kama hiki kingine ambacho nimekuwa nikiongozana nacho toka External. hiki cha kwanza kinanesa sana..... yaani kinanesa mpaka mtu unasema huu uongo umetiwa chumvi si kwa kunesa huko... kinatembea kama kinacheza reggae . swali langu likawa atakuwa amekifanya nini? ameongezea nini?

Sababu kiukweli kinaburudisha sana hata kukiangalia jinsi kinavyonesa. hakikutofautiana sana na Prado Mayai nliyokuwa naendesha. tena nahisi kama kalizidi maan akipunguza mwendo kidogo kanakuwa kama kanainama mbele kukubali kuwa sawa kanapungua. akiongeza mwendo kanashuka nyuma mbele kanainuka huku kakinesa nesa. pia niligundua kalikuwa kamenyanyuka kidogo. si sana.

Wadau hiki kigari kitakuwa kimeongezewa nini kinachofanya kinese nese namna hiyo?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Dah mkuu we ni Chizi sana nimejikuta nacheka mno
 
Nimetoka Airport nikawa nimeingia mandela road nimekamata hii barabara mpka riverside mbele yangu Kilikuwepo kigari kidogo aina ya Suzuki Swift. Aiseee huyu jama kakiwekea Uongo fulani hiki kigari mpaka nikawa nacheka. Gari inanesa utadhani Range Rover au Prado Mayai ninayoiendesha.

Akipunguza mwendo kinabonyea kikipanda hata kamwinuko kadogo kwenye lami kinanesa nesa mpaka mtu unaweza cheka kuwa kinazidisha si kwa kunesa kule. bahati nzuri tumekuja fika darajani ikawepo Suzuki Swift nyingine, zote nimeziacha mbele yangu makusudi ili niweze observe hiki kigari.

Hii nyingine ya blue haikuwa ikinesa kama hiki kingine ambacho nimekuwa nikiongozana nacho toka External. hiki cha kwanza kinanesa sana..... yaani kinanesa mpaka mtu unasema huu uongo umetiwa chumvi si kwa kunesa huko... kinatembea kama kinacheza reggae . swali langu likawa atakuwa amekifanya nini? ameongezea nini?

Sababu kiukweli kinaburudisha sana hata kukiangalia jinsi kinavyonesa. hakikutofautiana sana na Prado Mayai nliyokuwa naendesha. tena nahisi kama kalizidi maan akipunguza mwendo kidogo kanakuwa kama kanainama mbele kukubali kuwa sawa kanapungua. akiongeza mwendo kanashuka nyuma mbele kanainuka huku kakinesa nesa. pia niligundua kalikuwa kamenyanyuka kidogo. si sana.

Wadau hiki kigari kitakuwa kimeongezewa nini kinachofanya kinese nese namna hiyo?
Mkuu sema tu ulikua unataka tu kutuambia kuwa una prado mayai
 
Back
Top Bottom