GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa mvao huu halafu P Diddy 'asikupididi' kweli? Kudadadeki....!!Kwa huyu choko
View attachment 3108164
Hawakutakiwa kupiga picha kwenye ile party, ila kulikuwa na mpiga picha maalum wa Pumzi Baba kwenye lile tukio na hii ni kati ya picha zilizopigwa pale. Inatafutwa picha mheshimiwa alivyokuwa ametupia kivazi, hawajai release sababu mheshimiwa siyo target yao, yaani hayupo kwenye mpango wao, ila kama alivalishwa itapatikana tu.Kwa huyu choko
View attachment 3108164
Juzi kuna mahala nilitaka kununua mafuta ya baby Johnson, muhudumu akawa amenitoleaa macho Hadi nikabadilisha mawazo ,😅😅"Nasikia P Diddy ana Mafuta mengi na Kitanda Kikubwa"
Mnaojua masuala ya Vijembe tafadhalini tusaidieni pia Sisi tusiojua ili tuweze Kuelewa ni nani amelengwa hasa hapa.
Yupo “HAA”didi ndani ya dangote...mazee mzee wa paipu!
View attachment 3108198
Lazima alikiba awe hater yeye anatoa jasho mwenzake anapiga hatua kwa pesa za kutolewa marindaAli Kiba ni hater nani asiyemjua. Kapigwa bao vibaya vibaya kabaki kurusha vijembe kama shangingi wa uswahilini
Lazima alikiba awe hater yeye anatoa jasho mwenzake anapiga hatua kwa pesa za kutolewa marinda
Gape kapigwa mno na diamond so lazima ajifiche kwenye kichaka cha PdidyLazima alikiba awe hater yeye anatoa jasho mwenzake anapiga hatua kwa pesa za kutolewa marinda
Huyu kadidiwa na diddy. Mmmh chokoKwa huyu choko
View attachment 3108164
Bao la diddy..? Kama mambo ndio hayo ya kudinywa mwanaume si bora awe tu wakaiwaidaAli Kiba ni hater nani asiyemjua. Kapigwa bao vibaya vibaya kabaki kurusha vijembe kama shangingi wa uswahilini
Kweli gape la kunyetuliwa na Diddy hilo diamond kamuacha alikiba mbaliGape kapigwa mno na diamond so lazima ajifiche kwenye kichaka cha Pdidy
Mlitaka nae apewe rozi rozi na Didy mpaka mafuta ya upako.Ali Kiba ni hater nani asiyemjua. Kapigwa bao vibaya vibaya kabaki kurusha vijembe kama shangingi wa uswahilini
Hapo kaongelea mafuta na kitanda tu, hajataja wala ku-implicate mtu. Mangine mnajiongeza/mtajiongeza rightly or wrongly kwa sababu yanajiri currently kwa kukamatwa kwake na aina ya kesi yake, hapa Ina maana kila aliyewahi kuwa karibu naye anakuwa scrutinized."Nasikia P Diddy ana Mafuta mengi na Kitanda Kikubwa"
Mnaojua masuala ya Vijembe tafadhalini tusaidieni pia Sisi tusiojua ili tuweze Kuelewa ni nani amelengwa hasa hapa.
..... ni nani amelengwa hasa hapa.
ni hater ambaye anajifanya anajifanya mtu wa Mungu sijuiAli Kiba ni hater nani asiyemjua. Kapigwa bao vibaya vibaya kabaki kurusha vijembe kama shangingi wa uswahilini