Hiki 'Kijembe' cha maana Ali Kiba kamtupia nani hapa Tanzania?

Alikiba ni certified hater
jamaa ni hater mbaya sana anatamani sana alike pale alipo diamond lakini kiukweli hawezi kufika pale

yote kwa yote Mond angekuwa kaliwa tungeanza kumuona anashine majuu kipindi kile kile
 
"Nasikia P Diddy ana Mafuta mengi na Kitanda Kikubwa"

Mnaojua masuala ya Vijembe tafadhalini tusaidieni pia Sisi tusiojua ili tuweze Kuelewa ni nani amelengwa hasa hapa.
Vijana wa bongo mpakwa wapakwe mafuta ndio wawe maarufu
 
"Nasikia P Diddy ana Mafuta mengi na Kitanda Kikubwa"

Mnaojua masuala ya Vijembe tafadhalini tusaidieni pia Sisi tusiojua ili tuweze Kuelewa ni nani amelengwa hasa hapa.
Dogo alipita naye kabisa, mcheki circle yake na matendo yake baada ya safari ya USA, kijana punga already.
 
Yani unaambiwa hadi huko jela askari magereza wamevaa chupi za ngozi kuepusha vijambio vyao mbele ya mdudu Puffy Dady chakula anapelekewa na askari 50 waliojihami na silaha nzito za kivita
 
Kwa kauli zake za kujisifu kua yeye kushuka pale juu sio leo wala kesho inaonyesha overconfidence.

Sio bure, huyo dogo kuna kitu kafanya kinachompa jeuri na kujiamini kupitiliza kua hawezi shuka kimuziki.
 
Ali Kiba lazima awe hater, muziki wake mwisho Kariakoo lakini Platnumz 👇🏿


Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…