joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
Vijana wa bongo mpakwa wapakwe mafuta ndio wawe maarufu"Nasikia P Diddy ana Mafuta mengi na Kitanda Kikubwa"
Mnaojua masuala ya Vijembe tafadhalini tusaidieni pia Sisi tusiojua ili tuweze Kuelewa ni nani amelengwa hasa hapa.
Na Baba yako Mzazi.Amekulenga wewe..
Dogo alipita naye kabisa, mcheki circle yake na matendo yake baada ya safari ya USA, kijana punga already."Nasikia P Diddy ana Mafuta mengi na Kitanda Kikubwa"
Mnaojua masuala ya Vijembe tafadhalini tusaidieni pia Sisi tusiojua ili tuweze Kuelewa ni nani amelengwa hasa hapa.
Eti kwenda kwa P Diddy
Dogo alipita naye kabisa, mcheki circle yake na matendo yake baada ya safari ya USA, kijana punga already.
Najua imekuingia vilivyo...Na Baba yako Mzazi.
Na Baba yako Mzazi.