Hiki kijiti kinasaidia nini?

Hiki kijiti kinasaidia nini?

Una asili ya wizi na udokozi asa kwenye pochi ya mkeo umefata nn.
Na cku ukikuta condom uje kutuuliza ni yann !
🤣🤣🤣🤣Jmn nikimuliza tutagombana ndio Mana nimefanya Siri
 
Hilo lijimti ni Kwa ajili ya kukufanya uwe zamwamwa ndio maana umeshindwa kumuuliza mwenyewe unakuja kutuuliza sisi
Mwanamke ata aoneshi wivu ata akigundua amenifumania ,Ila ndo kwaza anacheka tu adi naogopa mm sipendi Aya maisha napenda mtu awe ananionyesha amechukia ,Ila Mara naona ilo jiti na Mambo gafra hayaendi Ali imekua ngumu ndio Mana nimeulixa
 
I warned you several times wacha kutembelea upepo wangu..but you didn't listen to me...ulijua utanikomoa ...ila umejikomoa mwenyewe....ushatiwa Lockup endelea na ID Yako ... don't mess with nyamwi... ASante Moderator ...kwa kunikomeshea hiki kiumbe ..
Hhahahahahah nani yuko lockup
 
Back
Top Bottom