Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Marahaba, niko huku mapenzi yalipozaliwa siko dar
[emoji848] [emoji848] [emoji848] Nitakuja huko pia si unajua tuna JF party hivyo nasogea karibu nipewe hata kamati ya vinywaji.
Hahahahaaa, karibu sana
Usisahau selfie nione kulivyopendeza
Hehehehehe asanteee, nitakutumia mapicha ya kutosha!
Sawa.Sio kwa cheko hilo hahahahaa nazisubiri
Mjumbe hauwawi Soulmate, kazi yake kufikisha ujumbe.[emoji53] [emoji18] [emoji6]Soulmate acha bana
[emoji23][emoji23][emoji23]
Asante kwa ushauri mujarabJichunguze huogagi vizuri na hata nywele zako za kwapa zina weupe uliogandaganda.... osha kwapa vizuri kwa dodoki na sabuni, suuza na maji safi hadi povu liishe kabisa, paka mafuta ya maji.
Huwa najitahidi kuoga kila siku tena vizuriJifunze kuoga walau Mara mbili au tatu kwa siku. Hiyo ni dalili ya kuwa hujui kuoga
AsanteJasho jingi kwapani + kazi ngumu iliyokulazimu muda wote uifanye huku umebana makwapa(kubeba tofali) + ile friction sasa = Povu
Iyo kaz ulifanya ukiwa kifua waz au ulikuwa na vest tu bila shaka na ukute kwapa ulitoka kulinyoa sio siku nying. Kwa iyo ni kawaida tu iyo hali kwa baadhi ya watu usiogope
HatariUna sumu kuvu mwilini
Sijasikia hii party, nipeni utaratibu wa kushiriki na mahali[emoji848] [emoji848] [emoji848] Nitakuja huko pia si unajua tuna JF party hivyo nasogea karibu nipewe hata kamati ya vinywaji.
NitanyoaUmenyoa nywele za kwapan? kama zipo huwa zina tabia ya kuweka ukoko mweupe na huo ukoko ukipata joto huyeyuka na kuwa kama uji uji au mapovu hayo uliyoyaona
Wala, ktk jukwaa hili la JF hakuna wa kunifikia kwa usafi wa mwili.Tatizo huogi vizuri
Ni dalili ya ninijiandae kwa dozi.sio dalili nzuri hata kidogo