Usiniwekee bifu sasa.Nimekutania tu.Umepata cha kuandika, hongera.
Kwa wasanii wakubwa let's say Nasibu Abdul (diamond) , Juma Jux na wengineo ukiingia Kwenye mitandao kama IG, FB n.k utakutana na Accounts nyingi zenye majina hayo ambazo nyingi ni "fan pages" ndio maana wakaamua kuweka official ili kutofautisha ama kuonyesha kuwa hizo ni rasmi.Wakuu, mi nauliza tu!
Hawa ni mastaa wetu, ‘vioo’ vya jamii. Basi wengi wao hupenda ku-name akaunti zao ‘official’.
Yaani kila msanii ana prefix- au suffix- official, hata wale uchwara atajiita ‘officialuchwara’ au ‘utopoloofficial’.
Napata tabu huenda mimi sielewi, na wala siioni huko kwa mabeberu tunakojifunza. Wajuvi nijuzeni, nami nipate kujua.
Nini maana ya kuwa ‘official’ kwenye hizi kurasa zetu?
Asanteni.
Officialdavido na yeye ni uchwara...?Tukiiga kosa, tukianzisha vyetu kosa. Wewe unashaurije?
Mbona diamond anatumia diamond platinumz na sio official...?Kwa wasanii wakubwa let's say Nasibu Abdul (diamond) , Juma Jux na wengineo ukiingia Kwenye mitandao kama IG, FB n.k utakutana na Accounts nyingi zenye majina hayo ambazo nyingi ni "fan pages" ndio maana wakaamua kuweka official ili kutofautisha ama kuonyesha kuwa hizo ni rasmi.
kidogo utakuwa umepata mwanga sio?
Mzee huo ni mfano tu, ugumu upo wapi kuelewa hapo, alafu diamond yupo verified hiyo official ya nini?Mbona diamond anatumia diamond platinumz na sio official...?