Hiki kinywaji kimepotelea wapi?

Hiki kinywaji kimepotelea wapi?

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
download (1).jpg



Kipo wapi?
 
Sasa hivi naona TBL na grand Malta yao ndio inatamba kuna watu wanajua ndio hii ila ni tofauti.
 
Vita malt
Nilikunywa sana hii kitu
 
Kimeadimika mzee sikuhizi ni mwendo wa guiness na lile li bite dah
 
Back
Top Bottom