Hiki kipigo kilikuwa mwana ukome

Hiki kipigo kilikuwa mwana ukome

itakiamo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
893
Reaction score
1,739
Unaambiwa mwaka 1941 uto alichezea kipigo cha mbwa koko.
Hii rekodi hawatokuja kuisahau
FB_IMG_17392125687724087.jpg
 
Ilikuwepo mkuu... Sandaland imekuja kubadili jina kujiita simba mwaka 1940, mwaka 1941 mbugi likapgwa yanga Akala 12 kwa nunge,
Simba imepitia majina mengi toka kuanzishwa kwake mpaka sasa. Ilipoanzishwa mwaka 1936 iliitwa Queens jina lilidumu mpaka mwaka 1948 walipofanikiwa kupanda ligi daraja la kwanza na wakati huo mkoa wa Pwani ulianzisha ligi maalumu iliyokuwa ikijiendesha kwa misingi bora ya kisasa
 
Back
Top Bottom