Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JamiiForums jihadharinina hizi habari za uzishi. Mwaka 1941 hakukuwa na timu inaitwa Simba, hii taarifa ni ya uwongo na uzishi per seUnaambiwa mwaka 1941 uto alichezea kipigo cha mbwa koko.
Hii rekodi hawatokuja kuisahauView attachment 3232576
Ilikuwepo mkuu... Sandaland imekuja kubadili jina kujiita simba mwaka 1940, mwaka 1941 mbugi likapgwa yanga Akala 12 kwa nunge,JamiiForums jihadharinina hizi habari za uzishi. Mwaka 1941 hakukuwa na timu inaitwa Simba, hii taarifa ni ya uwongo na uzishi per se
Jina la Simba lilitolewa na Karume kwenye 1960s acha upotoshajiIlikuwepo mkuu... Sandaland imekuja kubadili jina kujiita simba mwaka 1940, mwaka 1941 mbugi likapgwa yanga Akala 12 kwa nunge,
Simba imepitia majina mengi toka kuanzishwa kwake mpaka sasa. Ilipoanzishwa mwaka 1936 iliitwa Queens jina lilidumu mpaka mwaka 1948 walipofanikiwa kupanda ligi daraja la kwanza na wakati huo mkoa wa Pwani ulianzisha ligi maalumu iliyokuwa ikijiendesha kwa misingi bora ya kisasaIlikuwepo mkuu... Sandaland imekuja kubadili jina kujiita simba mwaka 1940, mwaka 1941 mbugi likapgwa yanga Akala 12 kwa nunge,
Acha uzushi .....JamiiForums jihadharinina hizi habari za uzishi. Mwaka 1941 hakukuwa na timu inaitwa Simba, hii taarifa ni ya uwongo na uzishi per se
Mkuu unawaita wa nn hao
Huyo ni mzushi hataki kuamini kama alikula 12Acha uzushi .....
Leta facts, sio unakimbilia tu kusema acha uzushiAcha uzushi .....
Wakuumbue.Mkuu unawaita wa nn hao
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume rekodi zangu zipo sawaSimba imepitia majina mengi toka kuanzishwa kwake mpaka sasa. Ilipoanzishwa mwaka 1936 iliitwa Queens jina lilidumu mpaka mwaka 1948 walipofanikiwa kupanda ligi daraja la kwanza na wakati huo mkoa wa Pwani ulianzisha ligi maalumu iliyokuwa ikijiendesha kwa misingi bora ya kisasa
Unawashwa siyo?Unaambiwa mwaka 1941 uto alichezea kipigo cha mbwa koko.
Hii rekodi hawatokuja kuisahauView attachment 3232576
Huu upuuzi mtumie mamakoUnaambiwa mwaka 1941 uto alichezea kipigo cha mbwa koko.
Hii rekodi hawatokuja kuisahauView attachment 3232576
Jihadharinina, uzishi, uwongo. HIVI WEWE JAMAA MZUSHI HATA HUJISHTUKII??? Unajiona mjanja kumbe hamna kitu.Leta facts, sio unakimbilia tu kusema acha uzushi
Huo uzushi ni kwa ajili ya kuwaaminisha wajinga.JamiiForums jihadharinina hizi habari za uzishi. Mwaka 1941 hakukuwa na timu inaitwa Simba, hii taarifa ni ya uwongo na uzishi per se