Hiki kipigo kilikuwa mwana ukome

Ilikuwepo mkuu... Sandaland imekuja kubadili jina kujiita simba mwaka 1940, mwaka 1941 mbugi likapgwa yanga Akala 12 kwa nunge,
Simba imepitia majina mengi toka kuanzishwa kwake mpaka sasa. Ilipoanzishwa mwaka 1936 iliitwa Queens jina lilidumu mpaka mwaka 1948 walipofanikiwa kupanda ligi daraja la kwanza na wakati huo mkoa wa Pwani ulianzisha ligi maalumu iliyokuwa ikijiendesha kwa misingi bora ya kisasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…