Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
100% trueYanga wanapumlia mashine uongozi inatakiwa upigwe chini, uongozi umeishiwa mawazo ama pumzi (running out of ideas), wanahema kama chura, wanalalaU singizi wa pono kumbe hawajui kwamba ligi ya Tanzania ubora wake ni namba 4 Africa π
Big mouth with poor results
Bora hata Mandoga akinena anatenda
Ni kabla haijabadili dini na kusilimu tu ila mtoa kipigo ni yuleyule na mpigwaji hajabadilika.JamiiForums jihadharinina hizi habari za uzishi. Mwaka 1941 hakukuwa na timu inaitwa Simba, hii taarifa ni ya uwongo na uzishi per se
Umeniwahi mzee wangu kwani wakati tuansherehekea miaka kumi ya uhuru mwaka 1971 hakukuwa na timu inaitwa Simba. Timu kuwab za Dar wakati ule zilikuwa ni Yanga, Sunderland, na Cosmo (Cosmopolitans)JamiiForums jihadharinina hizi habari za uzishi. Mwaka 1941 hakukuwa na timu inaitwa Simba, hii taarifa ni ya uwongo na uzishi per se
Daah huyu mwamba alietunza hii kadi apewe tuzo ya heshima..