Hiki kipindi cha wasafi cha Gospel ni balaa. Ni zaidi ya Ibada

Masanja alisema atafungua redio yake, daah sasa Kaangukia kuwa mtangazaji huko usafini
 
Masanja alisema atafungua redio yake, daah sasa Kaangukia kuwa mtangazaji huko usafini
SAFARI KUELEKEA MAFANIKO NI NDEFUUUUUUUUUUUUUUUUUUU MKUU NA UNAPITIA NJIA MBALI MBALI, HUWA NAJIULIZA MAJIZZO ALIPATA WAPI MPUNGA WA KUFUNGUA RADIO FASTA??!
 
duuuuu....Habari mpya hii kwangu
Waoneni tu watu wanajidai walokole. Wanatafuta fursa tu.Luvanda alimpata Lilian kwenye kwenye mambo ya u MC wao. Akakolea. Akamwacha mke wa ndoa tena na watoto.
 

Attachments

  • 20200505_230819.jpg
    59.6 KB · Views: 12
  • FB_IMG_1588712650099.jpg
    20.6 KB · Views: 12
  • 20200505_230636.jpg
    76.4 KB · Views: 11
  • 20200505_230758.jpg
    142.5 KB · Views: 12
  • 20200505_230743.jpg
    142.7 KB · Views: 10
  • 20200505_230726.jpg
    41.9 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…