Hiki kipindi kimetisha sana

hahaha kama ni kweli hii basi nzuri sana kwa wale wasiojiamini, wanajitakia wenyewe mapresha hayo.

nimewahi kutumiwa audio moja ya hicho kipindi...aisee nilicheka sana, wanaume ss Mungu anatuona [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…