Hiki kipindi kimetisha sana

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hatariii
 
Kuna watu wapumbavu sana,yaani mtu anakupigia simu kisha anakuuliza maswali yasiyo ya msingi na wewe unatiririka tu kisa umesikia habari za kazi,kusema una mke na mtoto inatosha ila mara anaitwa nani sijui bla bla ni upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…