whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Ha ha ha ha ila vero kayataka mwenyewe, Hakujua hata kama Mika anamchumba mwenye mtoto juu
hiyo mimba mm ya nn Demiss....wewe beba tu, umlete ankoli baadae nimuoneSawa furaha yangu nataka nibebe mimba nizae katoto kazuri sanaaaa asubuhi kama hii kawe kamelala kifuani kwanguuuuuu
Nilikuwa kwenye diet ya kupunguza kilo hatimaye zimetimia so mwili upo tayar kubeba ujauzito ndo maana najisikia rahaaaaaaaaaaaaaaa
na wewe unataka kubeba mimba kama mimi
Sawa usjali unataka na wewe nikuzalie kamojaaaahiyo mimba mm ya nn Demiss....wewe beba tu, umlete ankoli baadae nimuone
mmmh! utawezaa?Sawa usjali unataka na wewe nikuzalie kamojaaaa
Na miguu ataitoaaaammmh! utawezaa?
mshana atakutoa hayo masikio...
hahaha mm simo....sitaki kesi na wazee wa kilingeni.Na miguu ataitoaaaa
6 watafaaaahahaha mm simo....sitaki kesi na wazee wa kilingeni.
ntamwambia mumu anizalie kamoja akikubali...
uje umsaidie eeh [emoji3][emoji3]6 watafaaaa
Kufanyajeeeeeuje umsaidie eeh [emoji3][emoji3]
kulima, kupanda na kuvuna mpunga huku nanjilinji [emoji1][emoji1][emoji1]Kufanyajeeeee
Dadeki we shangaa tu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Haya mambo ya PM sasaAhahahaaaaaa embu niambie ni kitu gani hicho?
Au wataka nidhalilike kama vero
Mhhhhh unapenda mambo ya gizani wewe [emoji26]Haya mambo ya PM sasa