Hiki kisa cha huyu mwanaume aliyetembea na shemeji yake kimenifunza.

Write your reply...
Aendelee kumla tu kwan shida iko wapi kama jamaa anajua toka way back kua mke ana mpenda b
 
Mara A mara B mara Gea!!

NB: Hiyo inaitwa adhabu ya kisaikolojia. Ni mbaya mno!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu B snitch..sio rafiki wa kweli...nahic jamaa hataki agombane na B kisa mwanamke ndo maana kawa kimya...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu kwa urafiki wao angemkataa na siku walipofumaniwa japo B anasema ilikuwa ndo mara ya kwanza itakuwa walikuwa wanakulana siyo mara ya kwanza
 
Ila A cyo muongeaji kabisaaa ,mpole adi nimempenda buree
Nimemsikia wakati anaongea na Gea nikama hataki ata kuongelea iyo ishu ,yuko poa tu
alafu inaelekea anampenda sana rafiki ake
 
Adi mauki kaingilia kati usifanye mchezo na physiological tougher ila wanaume mkomage na nyie mjifunze kukaa mbali na shemeji zenu mtaja kufa mdomo wazi kisa k japo mwanamke ndo alie muwekea mazingira ya kumtafuna
 
Kipindi nafanya kazi za kuajiriwa kuna mtu alinifanyia majungu nikafukuzwa kazi.

Wala sikujua kama ni yeye ila baada ya kutoka pale niliendelea kumpa support ya kazi ukizingatia Mimi ndiye niliyempokea na kumfundisha kazi.

So siku moja ananipigia ananiambia nasikia unanitangazia kuwa Mimi ndiye niliyekufukuzisha kazi. Nikashangaa sana kwanza sijawahi kuhisi baadae nikapeleleza ndio nikajua kuwa kumbe ni kweli yeye ndiye aliyepeleka zile taarifa kwa wakuu wa department.

Nikajua kuwa kumbe psychologically alikuwa anaumia kwa sababu Mimi nilikuwa nampa ushirikiano kama kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila A cyo muongeaji kabisaaa ,mpole adi nimempenda buree
Nimemsikia wakati anaongea na Gea nikama hataki ata kuongelea iyo ishu ,yuko poa tu
alafu inaelekea anampenda sana rafiki ake
Umenipenda kweli? Au ukishajua mimi ndio A hutataka hata nije pm
 
Mfano halisi wa mwanaume wa Dar ni huo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…