Hiki kisa nimekifanya siri/vumilia kinantesa ni nafuu nikiseme kinitoke kichwani

taarifa za kiintelijensia zinasema muda mfupi uliopita kloro kaingizwa central amekamatwa na furushi la bangi! Kalaghabao na ubozi wako!
Khaaa! Toka lini lawyer akauza bange? Angalia isijekuwa unamfananisha honey klorokwini na fidel bana.
 
Dr gani uyo? anaeshauri kucheka na kusmaili? hehehe isje ikawa dr yuko mawindoni anataka kumbemenda kajunior
No, no, no. Amesema ni kwa afya ya mama na mtoto, amesisitiza pia niwe nakuchekea wewe tu kwa mujibu wa daktari nikifanya hivyo kloro jr atakuwa na akili kama zako.
 
Weeh mwali! Ww ndo wifi yake Marytina? Manake alianza hivi hivu kabla hajam'baka Marytina!
Sema Astaghfirulah mara tatu kwanza. lol
Mi nimesema so sweet sio kwa taste ila kwa vitendo. Hivi nikikwita darling au honey itakua ni kimapenzi? lol
 
No, no, no. Amesema ni kwa afya ya mama na mtoto, amesisitiza pia niwe nakuchekea wewe tu kwa mujibu wa daktari nikifanya hivyo kloro jr atakuwa na akili kama zako.

Duh!Hii imenifanya nicheke sana!!
 
Sema Astaghfirulah mara tatu kwanza. lol
Mi nimesema so sweet sio kwa taste ila kwa vitendo. Hivi nikikwita darling au honey itakua ni kimapenzi? lol
Mie ukiniita honey, darling au sweetie sishituki, ila ole wako nikufume unamwita deskmate hayo majina! Ntakuua walah tena..
 

Kwa hiyo MLISAGANA?
 
mwenzangu, uliitaja kwa msisitizo nikahisi ucameroon umeanza! mi nna wivu hadi na wake wenza bibie, u gave me goose bumps (u dont make me blush like NN does you,lol)
Sema Astaghfirulah mara tatu kwanza. lol
Mi nimesema so sweet sio kwa taste ila kwa vitendo. Hivi nikikwita darling au honey itakua ni kimapenzi? lol

Nimekumisi pia mke mwenza, nilikuwa nakimbiza hela ya krismas, sasa nimepata nashangaa mafuriko hayoo! kariakoo sijui ntaenda na mtumbwi na gas mask?
Bora umeona mke mwenza manake utanilinda.

Nimekumisije?
 
mwenzangu, uliitaja kwa msisitizo nikahisi ucameroon umeanza! mi nna wivu hadi na wake wenza bibie, u gave me goose bumps (u dont make me blush like NN does you,lol)

Do I make you blush too?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…