BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
pole sana na hautaacha tena hako kamchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio NN Boarding ya mchanganyiko ambako mabweni ya wasichana kulikuwa na kina dada,wifi, mama, shangazi na Bibi ilhali kina kaka,shemeji, baba, mjomba na Babu walikuwa kwenye mabweni ya wavulanaNa wewe ulisoma boarding?
Ndio NN Boarding ya mchanganyiko ambako mabweni ya wasichana kulikuwa na kina dada,wifi, mama, shangazi na Bibi ilhali kina kaka,shemeji, baba, mjomba na Babu walikuwa kwenye mabweni ya wavulana
pole sana na hautaacha tena hako kamchezo
I can't complain my bro.Oh kumbe. Ulifurahia maisha ya huko?
ulifika kilele? mara ngapi, ulijisikiaje? utarudia?
Kwa hiyo MLISAGANA?
hahaha
thanks nyani, na wewe pia nakutakia sikukuu njema,bday yangu ilikuwa jana hata sijapata pongezi zako
Khaaa! Toka lini lawyer akauza bange? Angalia isijekuwa unamfananisha honey klorokwini na fidel bana.
Basi kua na amani, mi siko hivo kabisa. Sijui ningekutajia nani akuhakikishie maana anae nijua kwa ukaribu kidogo ni Klorokwini ila sio karibu kiivo lol. We are just deskmate planing kuchongeana penseli. lolmwenzangu, uliitaja kwa msisitizo nikahisi ucameroon umeanza! mi nna wivu hadi na wake wenza bibie, u gave me goose bumps (u dont make me blush like NN does you,lol)
mmmmmmmhhhh so curious,nikupe namba ya simu ya marytina?ulifika kilele? mara ngapi, ulijisikiaje? utarudia?
NN made me blush kuniuliza mambo ya nguo za ndani... how intimate... lol
pole sana na hautaacha tena hako kamchezo
Koku bana,unashangaa nini sasa?
Ngoja nikuimbie kibongo bongo...
Hapi bathdei tu yuuu
Hapi bathdei tu yuuu
Happy bathdei dia BB
Happy bathdei tu yuu.
How old are you now?
How old are you now?
From good friends and true,
From old friends and new,
May good luck go with you,
And happiness too.
ulifika kilele? mara ngapi, ulijisikiaje? utarudia?
Victoria's Secret, tena 'sexy little thing' na 'pink'. hahahahaha, but 'laSenza' for everyday.Wewe unapenda Victoria's Secret au Frederick's of Hollywood? Lace au leather?