Sitakuja kupeleka mtoto akasome boarding.
Tobaaaaa!
Usitukane mamba NN!!
Nini tena Hus,
Dada wa watu katoa ushuhuda...kakosea wapi??
To me, she is a big hero!!
Hata bila kupelekwa boarding anaweza kufanya, na wengine wanaenda boarding hawafanyi. Kila mtu ana namna yake ya kua.Sitakuja kupeleka mtoto akasome boarding.
Hata bila kupelekwa boarding anaweza kufanya, na wengine wanaenda boarding hawafanyi. Kila mtu ana namna yake ya kua.
Mi kinacho nifanya niendelee kumsubiri marytina ni kale kahali kakujifanya anasikitika huku alimtega mwenzie kwa kulala vila kufunika chuchu. lol
hajakosea chochote ila nashindwa kuelewa kwanini hakuweza kuzuia hicho kitu. Huyo wifi alikuwa baunsa au?
Kweli lakini.
Halafu mbona umeng'ang'ania sana hapo kwenye chuchu? Wapenda chuchuz wewe?
Mwenzenu alikuwa amezidiwa....hukuona kuwa alikuwa hajala kwa miezi karibia 6???
Mie namwelewa tu kwa sababu naweza kuvuta kumbukumbu (enzi zile za ujana wetu) jinsi nguvu hiyo ya ajabu inavyosumbua...Ukizingatia alikumbwa na upungufu wa mvua kwa muda mrefu wakati huo kuna kimbunga cha kutisha!!
Umesoma boarding wewe??
Mie najua kuwa simba akizidiwa anawezza kufakamia hata nyasi....!!
Si ndio alipokamatika hapo? kama anajijua yeye ni sensitive kwa nini aliziacha nje??????Kweli lakini.
Halafu mbona umeng'ang'ania sana hapo kwenye chuchu? Wapenda chuchuz wewe?
ile ilimtokea rafiki yake wa karibu siyo yeye.
ila yeye( martyna) zamani baba yake alikuwa mchaga mana yake alikuwa mngoni, na alikuwa anaishi Geneva of africa
siku hizi yeye(martyna) baba yake amekuwa mngoni na mama yake amekuwa mchaga
Ndio deskmate. tunamsubiri Marytina.Hili sredi bado linaendelea?
heee! Kuzidiwa si angepiga hata punyeto. Lol!
Deskmate, Niliona kuna sehem wanakushutumu, wakiendelea kukushutumu nishtue nitumie umod wangu kuwanyamazishaNdio deskmate. tunamsubiri Marytina.
Si ndio alipokamatika hapo? kama anajijua yeye ni sensitive kwa nini aliziacha nje??????
hayo mengine ya kiss, na mengine yalikuja baada ya wifi kuli... chuchu.
sisi under 18 mnatufanya tusielewe wajameni
ukikua utaelewa.
Tena o level na advanced, girls tupu.
Lakini jinsiia moja?
Raha MASHINE ikuguse bwana, hakuna cha kuzidiwa hapa.
Ww babu unasiisimkwa ukiguswa na wa jinsia yako? Na ukizidiwa unakuwaga unatafuta ME? Kumradhi lakini