Hiki kisa nimekifanya siri/vumilia kinantesa ni nafuu nikiseme kinitoke kichwani


ulaaniwe
 
Sijambo mwaya. Nakumiso pia, haya mafuriko bana yanafanya wapendwa twapotezana....

mi toka jana natumia usafiri wa private helicopter yangu,vipi unahitaji lift? Angalia juu hapo utaiona natoka kula lunch south beach naelekea oysterbay kufanya mazoezi colloseum.
 
Niombee ruhusa kwa klorokwini, akikubali nakuja..

taarifa za kiintelijensia zinasema muda mfupi uliopita kloro kaingizwa central amekamatwa na furushi la bangi! Kalaghabao na ubozi wako!
 
Hahaha! Ujue daktari ameshauri niwe nacheka mda wote mpaka nitakapojifungua...lol

Dr gani uyo? anaeshauri kucheka na kusmaili? hehehe isje ikawa dr yuko mawindoni anataka kumbemenda kajunior
 
Kishakua kiston tayari!Ila navuta picha ulivyomvutia mdomoni!!Hee sarawili inajaa upepo kwa mbele!Shenji ngoja niondoke hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…