The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
Chini ya Mtanzania, hakuna kinachoshindikana, uko wapi?amani iwe nanyi wapendwa;
naomba kujua kama kuna fundi anatengeneza kitanda cha aina hii hapa Tanzania,na bei yake pia;
View attachment 1726894
Bei yake ngapi?Keko hapo watu wanakutolea. Na ukienda waweza kikuta.
Around lak 8 hadi mil 1.2bei yake ngapi?,
Nenda Kawe Round About vipo vingi tu
My wife to be financial services njoo uone mambo huku. Kama vipi tujichange tununue hiki kitanda. Kile cha elfu 70 cha Shamba boy kitatusababishia tu ulemavu wa migongo tutakapo zeeka.Amani iwe nanyi wapendwa;
Naomba kujua kama kuna fundi anatengeneza kitanda cha aina hii hapa Tanzania na bei yake pia;
View attachment 1726894
Mbona unamchagulia rangi....kamaa hzipendi izo rangi?Ukikitengeza uchanganye rangi ya leather baadhi ya sehemu uweke na rangi ya maziwa.
Pesa yako tu. Tz kitu ambacho hakina engine kama gari au ndege, hawashindwi kukiunda mwanzo mwishoAmani iwe nanyi wapendwa;
Naomba kujua kama kuna fundi anatengeneza kitanda cha aina hii hapa Tanzania na bei yake pia;
View attachment 1726894
sio kweli, hivi vitanda vinauzwa 3m mpaka 4.5mAround lak 8 hadi mil 1.2
Shamba boy akisikiaMy wife to be financial services njoo uone mambo huku. Kama vipi tujichange tununue hiki kitanda. Kile cha elfu 70 cha Shamba boy kitatusababishia tu ulemavu wa migongo tutakapo zeeka.
Achana na vile vya kwenye maduka makubwa ya furniture ambavyo unauziwa na kitanda chake vilivyoagizwa toka nje.sio kweli, hivi vitanda vinauzwa 3m mpaka 4.5m