Nimepigwa hahaaAchana na vile vya kwenye maduka makubwa ya furniture ambavyo unauziwa na kitanda chake vilivyoagizwa toka nje.
Me nazungumzia ambacho unatengenezewa hapa hapa na mafundi godoro unaweka lako.
Kama ulinunua kwa bei hiyo basi umepigwa tena umepigwa parefu.
Hicho unatengenezewa hapa hapa tena kwa material quality na jumla ya gharama za material haizidi lak 4.
Kwa hiyo laki nne, mbao aina gani itatumika,ngozi au pvc ya ubora gani na bei gani kwa meter? Mfumo wa umeme na radio etc gharama zikoje?Achana na vile vya kwenye maduka makubwa ya furniture ambavyo unauziwa na kitanda chake vilivyoagizwa toka nje.
Me nazungumzia ambacho unatengenezewa hapa hapa na mafundi godoro unaweka lako.
Kama ulinunua kwa bei hiyo basi umepigwa tena umepigwa parefu.
Hicho unatengenezewa hapa hapa tena kwa material quality na jumla ya gharama za material haizidi lak 4.
Mfano hicho picha kachukua alliexpress kama si alibaba. Ukinunua kwenye maduka yenu ya kishua kufidia gharama kubwa ya shipping lazima ifike hiyo hela uliyotaja.Nimepigwa hahaa
Mzee kama unazungumzia vya kutengenezwa hapa sawa lakini sio cha ubora huo, unaweza hujui vitu vilivyo kwenye hicho kitanda kikiwa complete
Mkuu una nini lakini?Smart Bed, achana nacho na huu umeme wa Tanesco kinaweza kukukaanga hapohapo.
financial services unaitwa huku mwali mununue LijitandaMy wife to be financial services njoo uone mambo huku. Kama vipi tujichange tununue hiki kitanda. Kile cha elfu 70 cha Shamba boy kitatusababishia tu ulemavu wa migongo tutakapo zeeka.
Sasa kama yeye hapendi rangi ya maziwa au ya bahari si anaweza akaweka hata rangi ya visima?Ukikitengeza uchanganye rangi ya leather baadhi ya sehemu uweke na rangi ya maziwa.
Hata ndege mbona nasikia kuna mzee anaunda?Pesa yako tu. Tz kitu ambacho hakina engine kama gari au ndege, hawashindwi kukiunda mwanzo mwisho
Wewe hujui vitanda. Kitanda cha laki 4 ni mbao tupu, sofa bed zenyewe ndio zinachezea hapo. Hiki kitanda ukinunua chini ya 2M basi ungeachana nacho tu.Achana na vile vya kwenye maduka makubwa ya furniture ambavyo unauziwa na kitanda chake vilivyoagizwa toka nje.
Me nazungumzia ambacho unatengenezewa hapa hapa na mafundi godoro unaweka lako.
Kama ulinunua kwa bei hiyo basi umepigwa tena umepigwa parefu.
Hicho unatengenezewa hapa hapa tena kwa material quality na jumla ya gharama za material haizidi lak 4.
Sijasema bei ya kuuza mkuuβοΈπ. Nimesema gharama ya material kwa mtengenezaji. Kwa fundi wa keko hapo lak 8 - 1.2 unachukua vinginevyo amekuchapa ukija vibaya.Wewe hujui vitanda. Kitanda cha laki 4 ni mbao tupu, sofa bed zenyewe ndio zinachezea hapo. Hiki kitanda ukinunua chini ya 2M basi ungeachana nacho tu.
Jamani Hubby, hiki ni kizuri mno na i can imagine kitakachokua kinaendelea kila muda tukitumia hicho kitanda haina kuchokaa na kinaongeza sweetness hikiππ. Ila kama kile cha 70,000 hadi leo hii umesave 15,000 tu hicho si tutasave milele na isifikeππMy wife to be financial services njoo uone mambo huku. Kama vipi tujichange tununue hiki kitanda. Kile cha elfu 70 cha Shamba boy kitatusababishia tu ulemavu wa migongo tutakapo zeeka.
Hilo lijitanda lazima tuchukue na babe wangu Tate Mkuu πfinancial services unaitwa huku mwali mununue Lijitanda
Mkuu bado majeneza unauza ?Sasa kama yeye hapendi rangi ya maziwa au ya bahari si anaweza akaweka hata rangi ya visima?
Achana na mzee. Tuna kiwanda cha kuuza ndege au magari au hata pikipiki? Manake kitu chenye engine kinatengenezwa halafu kiuzwe na kiingizie mtu au kampuni? Hichi kitanda kinatengezwa na kinaingizia mtu hela. Achana na story za mitandaoni au za mtu kama yule dogo wa Bukoba alitengeneza kapikipiki kadogo kenye engine. Akaishia tu juu juu. Akili tunazo. Uwezo tunao. Lakini hayo mambo yanahitaji uwekezaji wa hela mkubwa. Kwa hio hata huyo wa ndege hakuishia popote. Alijaribu, akashindwa kuendeleza fani imwingizie $$$.Hata ndege mbona nasikia kuna mzee anaunda?