Hiki kitu hakiwakeri wadada

Hivi Glenn unaonaje hili suala la besti zako wanaambiwa wanasura za baba zao??
 
Wanaume wa humu wengi wana sura kama nyungumawe.
Alf vijitu vifupi vingi ndo mana vinamakasiriko.
 
Kwa hio unamaanisha nini yaan sababu wewe km mbovu mbovu tu Ila mwanaume aangalii sura, una tako linaweza kuweka position nzuri kwenye mbuzi kagoma kupiga chafya?
 
Kama una sura mbaaya watu wasiseme? Utake usitake mwanamke lazima uwe mrembo, uwe unavutia. Wanaume hata uwe na sura ngumu vipi Wala haijalishi

Kuhusu single mothers ni kweli kabisa humu wamejaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…