Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #121
Hivi mbona mnahasira ndio maana mnaficha nyama kwenye uvungu wa kitand aLione hiloooooo mxiuuuuuuuuuuuuuuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mbona mnahasira ndio maana mnaficha nyama kwenye uvungu wa kitand aLione hiloooooo mxiuuuuuuuuuuuuuuu.
ARV NDIO NINI??ARV ht huku Monduli zipo
Assistant Video RefereeARV NDIO NINI??
Nimegoogle muogope Mungu unamzuamshia mtu ugonjwa mmbaya kama huu anakuona na atakuwa mlipizaji wangu haina shida Asante Kwa kunionea Mimi muadhirika heri Yako uko na afya njemaAssistant Video Referee
Unanzaje kukereka kama sura yako haishi poda, mafuta ya bunduki.Mimi nawaza humu sijui nani anawaambia eti wanawake wa JF ni wana sura ya kutisha?
Niambieni. Wanaume wa humu mliojificha kwenye avatar mie tokea niwafahamu watu wa humu wanaume wa JF wanasura mbaya hadi kero wamepauka?
Sasa nyie mlitaka mtu kama Beyonce utampataje tuambie tu .
Sema kama unataka warembo kweli kweli basi uwe handsome na ni baada ya kufanya plastic surgery sio mje tu mdhihaki watu nahuku hata nyie mmechoka hivyo.
Hivi let me tell you mwanaume mzuri hata Mzungu haoi watu wazuri maana wanajua so kama mnazingua na Wala hamna hela tutaolewa na vyeipi pelekeni shida zenu huko sio mtukwaze eti tunasura mbaya na hizo I'd zetu zinapicha nzuri ila siye hatumo hivyoo.
Kama nyie ni mangtlemen basi hakunaga
Wanaume wa jf hamna akili asilimia kubwa chache tu ndio wanaojitambuaUnanzaje kukereka kama sura yako haishi poda, mafuta ya bunduki.
Unapenda kudeka km Wema 😁Nimegoogle muogope Mungu unamzuamshia mtu ugonjwa mmbaya kama huu anakuona na atakuwa mlipizaji wangu haina shida Asante Kwa kunionea Mimi muadhirika heri Yako uko na afya njema
kweli tuko wachache wenye akili ambao hatushoboki na profile za kina beyonce wakati tunajuaWanaume wa jf hamna akili asilimia kubwa chache tu ndio wanaojitambua
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mtetezi wako kakuacha peupeMmh! Carrasco putin njoo nitetee basi
Poda mnapaka , kujichubua mnajichubua oleweni tukweli tuko wachache wenye akili ambao hatushoboki na profile za kina beyonce wakati tunajua
wanawake wa Jf sura zenu hazishiki poda, mafuta ya bunduki
Kweli kaenda but bado Jimbo sio wazi[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mtetezi wako kakuacha peupe
So Carrasco putin umemuamini ?? Sema tuKwa ile sura yake? Labda uwe na nyege sana
Mkuu utakufa na magonjwa ya moyo na kuwalaumu wanaume wa JF kuwaPoda mnapaka , kujichubua mnajichubua oleweni tu
UnatetemaaaKweli kaenda but bado Jimbo sio wazi
Mie na chibabu wangu Tosha mwayaMkuu utakufa na magonjwa ya moyo na kuwalaumu wanaume wa JF kuwa
hawakushobokei pambana huko mtaani unaweza kupata hitaji la moyo wako
Sura kitu gani,kitu raha ya hubaSo Carrasco putin umemuamini ?? Sema tu
Kweli mie sipo single na mtu wanguUnatetemaaa
Na uwe umepata kweliKweli mie sipo single na mtu wangu
UnaniandamaNa uwe umepata kweli
NakuaidiaUnaniandama