Hiki kitu hakiwakeri wadada

Hiki kitu hakiwakeri wadada

Mimi nawaza humu sijui nani anawaambia eti wanawake wa jf ni wana sura ya kutisha ??

Niambieni. Wanaume wa humu mliojificha kwenye avatar mie tokea niwafahamu watu wa humu wanaume wa jf wanasura mbaya hadi keroo wamepauka...
Ukiona mdada anapadisha hasira kwa kutukana na kubeza wanaume basi ujue ako na shida ya kukosa ile kitu ya mwanaume.

Mom umemis mwanaume weye, pole sana kama wanakupita tu Ila usihofu tulia utapata aliye mwema kwako.
 
Nilichogunduwa humu JF 99% wa members wanawake ni single mothers.

Wanaume tuchukuwe tahadhari na kupuuza wanachosema sio wanachomaanisha..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Yaani ukishapambaniza huko unakuja kutunawia huku
 
Back
Top Bottom