Hiki kitu kamwe hakiwezi kutokea ndani ya JF, yaani kamwe hakitakaa kitokee!

Hiki kitu kamwe hakiwezi kutokea ndani ya JF, yaani kamwe hakitakaa kitokee!

Mnaweza nichangia jero jero tuu wakuu nisiikwepe dinner leo?
0621768030

comment tayari.
 
Chelsea mkibahatisha ushindi tunapata tabu kinyama
Huwa hamtulii yani

Imagine huu uzi uko tayari
Haya makasiriko nahisi ni ya shabiki wa timu miongoni mwa hizi: Man U, Arsenal, au Liverpool! Pole sana. Chelsea ni timu kubwa sana. Usiichukulie poa. Mkizubaa kidogo tu inachukua ubingwa wa EPL.
 
Haya makasiriko nahisi ni ya shabiki wa timu miongoni mwa hizi: Man U, Arsenal, au Liverpool! Pole sana. Chelsea ni timu kubwa sana. Usiichukulie poa. Mkizubaa kidogo tu inachukua ubingwa wa EPL.

Hisia zako sio za kweli

Team yangu haipo kwenye hizo ulizotaja...mimi ni Norwich
 
Mbona uzi wako una reply 11 na views 70?
Screenshot_20211023-211121.png
 
Huwezi maana huwa Kuna vidudu mtu huwa havikomenti achana na hilo wote wanao view wakikomenti itakuwa saresare tu walioview na kukomenti.

Kwahiyo tusio cmment hua ni vidudu watu[emoji849]
 
Back
Top Bottom