Jamani njooni huku, tufanye hili jambo litokee la "replies" kuwa nyingi kuzidi "views". Nimeanza mimi.....Uzi kuwa na 'replies' nyingi zaidi ya 'views'
Naona umekula dili na OP ili apate replies nyingiJamani njooni huku, tufanye hili jambo litokee la "replies" kuwa nyingi kuzidi "views". Nimeanza mimi.....
Ngoja tuone kama litatokeaJamani njooni huku, tufanye hili jambo litokee la "replies" kuwa nyingi kuzidi "views". Nimeanza mimi.....
Haya makasiriko nahisi ni ya shabiki wa timu miongoni mwa hizi: Man U, Arsenal, au Liverpool! Pole sana. Chelsea ni timu kubwa sana. Usiichukulie poa. Mkizubaa kidogo tu inachukua ubingwa wa EPL.Chelsea mkibahatisha ushindi tunapata tabu kinyama
Huwa hamtulii yani
Imagine huu uzi uko tayari
Huwezi maana huwa Kuna vidudu mtu huwa havikomenti achana na hilo wote wanao view wakikomenti itakuwa saresare tu walioview na kukomenti.Jamani njooni huku, tufanye hili jambo litokee la "replies" kuwa nyingi kuzidi "views". Nimeanza mimi.....
Tunapiga soga tu hapa kijiweni!ππHuwezi maana huwa Kuna vidudu mtu huwa havikomenti achana na hilo wote wanao view wakikomenti itakuwa saresare tu walioview na kukomenti.
Haya makasiriko nahisi ni ya shabiki wa timu miongoni mwa hizi: Man U, Arsenal, au Liverpool! Pole sana. Chelsea ni timu kubwa sana. Usiichukulie poa. Mkizubaa kidogo tu inachukua ubingwa wa EPL.
Huwezi maana huwa Kuna vidudu mtu huwa havikomenti achana na hilo wote wanao view wakikomenti itakuwa saresare tu walioview na kukomenti.
π π Daah!!! Pole. Hiyo timu sijui kama itabaki EPL msimu ujao.Hisia zako sio za kweli
Team yangu haipo kwenye hizo ulizotaja...mimi ni Norwich
Fresh tuπ π Daah!!! Pole. Hiyo timu sijui kama itabaki EPL msimu ujao.