Hiki kitu kimenishangaza kwenye mechi ya Casablanca vs TP Mazembe, hii sheria ipoje wadau?

Hiki kitu kimenishangaza kwenye mechi ya Casablanca vs TP Mazembe, hii sheria ipoje wadau?

kombaME

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
2,115
Reaction score
2,818
Kama ulicheck hii game ambayo kiukweli ilikuwa kali sana japo mazembe alionekana kuzidiwa, sasa kuna penalty ya 2 waliyopewa Casablanca, baada ya refa kupuliza kipyenga kuashiria penalty ipigwe na akaonesha kabisa tuta, then Casablanca wakawa wanajiandaa kupiga, mara refa akafanya mawasiliano na marefa wa nje then akaenda nje kuruidia kucheck kweny screen iliyokuwa pembeni mwa uwanja then akarudi uwanjani na kubatilisha penalty, Penalty haikupigwa na mpira ukaanzishwa na Tp Mazembe mchezo ukaendelea.

Hii kiti kwangu ndo mara ya kwanza kuona, ni mdau sana wa EPL but sijawahi ona kitu kama ile, naombeni kujuzwa kwa kina juu ya hii sheria, na je inatumika kwenye ligi zote au kwa game ile tu ilitumika.
 
Hiyo kitu ilikuwa kwenye majaribio na soon itakua applied, niliiona kwa Page ya shafii daud.n Maendeleo ktk mpira itasaidia sana kupunguza grievances zisizo za lazima.
 
uingereza wameitumia FA, kama uliangalia mechi ya Man U na Huddersfield walitumia kubatilisha goli la Juan Mata.

inaitwa Video assisted referee

mpaka sasa inatumika kwenye mambo manne tu
-uhalali wa goli
-uhalali wa penalty
-uhalali wa red card
-na kama kadi amepewa mtu ambae sio sahihi

isome zaidi hapa

Video assistant referee - Wikipedia
 
uingereza wameitumia FA, kama uliangalia mechi ya Man U na Huddersfield walitumia kubatilisha goli la Juan Mata.

inaitwa Video assisted referee

mpaka sasa inatumika kwenye mambo manne tu
-uhalali wa goli
-uhalali wa penalty
-uhalali wa red card
-na kama kadi amepewa mtu ambae sio sahihi

isome zaidi hapa

Video assistant referee - Wikipedia
Thanks sana chief
 
uingereza wameitumia FA, kama uliangalia mechi ya Man U na Huddersfield walitumia kubatilisha goli la Juan Mata.

inaitwa Video assisted referee

mpaka sasa inatumika kwenye mambo manne tu
-uhalali wa goli
-uhalali wa penalty
-uhalali wa red card
-na kama kadi amepewa mtu ambae sio sahihi

isome zaidi hapa

Video assistant referee - Wikipedia
Wafanye haraka ianze kutumika EPL,jana mechi ya man U na chelsea ilibidi iishe 2-2. Goli la Morata lililokataliwa lilikuwa halali.
 
Hizi technology kwenye soka litafanya ladha ya mpira ipungue sana kama ile mech ya man utd walikaa takriban 3-5 mitues kusubr majibu ya video from which ile excitment ya mpira inaondoka
 
Hizi technology kwenye soka litafanya ladha ya mpira ipungue sana kama ile mech ya man utd walikaa takriban 3-5 mitues kusubr majibu ya video from which ile excitment ya mpira inaondoka
Pia ilipunguza ladha kwenye game ya Liverpool na Tottenham,,, hasa ile penalty ya Kane
 
Pia ilipunguza ladha kwenye game ya Liverpool na Tottenham,,, hasa ile penalty ya Kane
Huo ndio ukwel ile hali ya kubishana on controvesial decisions ndio inafanya watu wapende mpira wawe na ushabik otherwise kila kitu kikiwa planned haina maana
 
daah yan wanaalib mpil waache mpila uwe na makoso mengi ndy utanoga MTU unaweza kufunga goli ukamsubili refa aangalie uhalal mpaka mood ya kushangilia inaisha
 
Hata mimi niliona mkuu.

Ila mazembe hawana team kabisa
 
Mazembe walibebwa sana lakini hawakubebeka. Waraabu all day wanapiga soccer zuri na lenye kuvutia. Big up Wydad and Pole zao Tp. Wasubiri next time sasa..
 
Hiyo VAR ( VIDEO ASSISTANT REFEREES ) Inatumika sana kwenye ligi ya ujerumani jaribu kufatilia utaona
Kuna mechi nilikua naangalia yani kosa limefanyika refa ajaona mpira ukaendelea baadae naona refa anaweka tuta yani nikasema kama ligi za kwetu mtu anakufa
 
Kama ulicheck hii game ambayo kiukweli ilikuwa kali sana japo mazembe alionekana kuzidiwa, sasa kuna penalty ya 2 waliyopewa Casablanca, baada ya refa kupuliza kipyenga kuashiria penalty ipigwe na akaonesha kabisa tuta, then Casablanca wakawa wanajiandaa kupiga, mara refa akafanya mawasiliano na marefa wa nje then akaenda nje kuruidia kucheck kweny screen iliyokuwa pembeni mwa uwanja then akarudi uwanjani na kubatilisha penalty, Penalty haikupigwa na mpira ukaanzishwa na Tp Mazembe mchezo ukaendelea.

Hii kiti kwangu ndo mara ya kwanza kuona, ni mdau sana wa EPL but sijawahi ona kitu kama ile, naombeni kujuzwa kwa kina juu ya hii sheria, na je inatumika kwenye ligi zote au kwa game ile tu ilitumika.
Mkuu nani alichukua super cup? Wengine hatupo Azam Pay Tv wala Dstv.

Vv
 
Kama ulicheck hii game ambayo kiukweli ilikuwa kali sana japo mazembe alionekana kuzidiwa, sasa kuna penalty ya 2 waliyopewa Casablanca, baada ya refa kupuliza kipyenga kuashiria penalty ipigwe na akaonesha kabisa tuta, then Casablanca wakawa wanajiandaa kupiga, mara refa akafanya mawasiliano na marefa wa nje then akaenda nje kuruidia kucheck kweny screen iliyokuwa pembeni mwa uwanja then akarudi uwanjani na kubatilisha penalty, Penalty haikupigwa na mpira ukaanzishwa na Tp Mazembe mchezo ukaendelea.

Hii kiti kwangu ndo mara ya kwanza kuona, ni mdau sana wa EPL but sijawahi ona kitu kama ile, naombeni kujuzwa kwa kina juu ya hii sheria, na je inatumika kwenye ligi zote au kwa game ile tu ilitumika.
Mazoezi ya VAR kama kule kwa malkia.
 
Inatumika kwenye ligi kuu Italy, kama una Azam TV tafuta channel inaitwa RAI italia namba 680 kama sijakosea wanarusha SERIE A. Japo hii teknolojia sometimes inaboa issues za kusubiri refa akaone video ni upuuzi
 
Back
Top Bottom