Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu VAR haitumiki kwenye EPL na hivo haikutumika wenye game ya tot na LiverpoolPia ilipunguza ladha kwenye game ya Liverpool na Tottenham,,, hasa ile penalty ya Kane
Ok sawa ile penalty ya mwsho ilokaa muda mrefu waksubr wajadriane Ilkuwa ni nn ile? maana refa alkuwa km anaskliza kitu kwa jamaa walio njeHapana mkuu VAR haitumiki kwenye EPL na hivo haikutumika wenye game ya tot na Liverpool
Kwenye hiyo match ni kweli technology ya VAR ilitumika, ili kupunguza errors ambazo waga refa na wasaidizi wake waga wanasababisha, hivo pale refa alikuwa anasikiliza maelekezo kutoka kwa wasaidizi ambao wanakuwa wanaangalia mpira kwenye tv na wanafanya replay then wanakuja na maamuzi ya mwisho either kama ni penalty au si penaltyOk sawa ile penalty ya mwsho ilokaa muda mrefu waksubr wajadriane Ilkuwa ni nn ile? maana refa alkuwa km anaskliza kitu kwa jamaa walio nje
Alijadiliana na msaidizi wake, Yale mengine yalikua mawasiliano ya kawaida sio na VAR.Ok sawa ile penalty ya mwsho ilokaa muda mrefu waksubr wajadriane Ilkuwa ni nn ile? maana refa alkuwa km anaskliza kitu kwa jamaa walio nje
Na hapa ndio mashabiki wanaiambia FIFA, ila hawataki kuskia! Burudani ya soka ni pamoja na Maamuzi ya ajabu ya marefarii na!Wasitumie aisee. Utata-utata na figisu ndio unaleta raha kwenye soka. Kila kitu kisiwani so perfect msisimko utapungua
Soka linapoteza mvuto kama mieleka ya wwe soonHuo ndio ukwel ile hali ya kubishana on controvesial decisions ndio inafanya watu wapende mpira wawe na ushabik otherwise kila kitu kikiwa planned haina maana