Hiki kituko cha msimu, yaani Profesa Jay ndio MC wa Simba day

Hiki kituko cha msimu, yaani Profesa Jay ndio MC wa Simba day

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Simba hawajujipanga kuandaa hiyo shughuli. Ma mc WaPo very dis organised.

Morrison nae ndio kaongea makolokolo Gani ?

Simba SC is very boring.

# Haji Manara is cut from a different cloth
 
Simba hawajujipanga kuandaa hiyo shughuli. Ma mc WaPo very dis organised.

Morrison nae ndio kaongea makolokolo Gani ?

Simba SC is very boring.

# Haji Manara is cut from a different clothes
Manara ni level nyingine...kwa vile walivyojitahidi kujaza uwanja leo angekuwepo Manara pale ingekuwa hatari..
 
Manara ni level nyingine...kwa vile walivyojitahidi kujaza uwanja leo angekuwepo Manara pale ingekuwa hatari..
Na wameujaza uwanja Kwa Sababu wanataka kumprove wrong Manara... Wanacheza Ngoma ya Manara
 
Simba hawajujipanga kuandaa hiyo shughuli. Ma mc WaPo very dis organised.

Morrison nae ndio kaongea makolokolo Gani ?

Simba SC is very boring.

# Haji Manara is cut from a different clothes
Onyango Mungu anamuona eti ana miaka 28 duuuu.......
 
Back
Top Bottom