balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mpoki na wimbo wa taifa wa kongo na kukata viuno,benchi la ufundi la Simba Kuna waganga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu Mgalilaya ameshatoa neno pale uwanjani au ndo atakuwa anatoka kwa mguu Dodoma na mke wake
Wale Wanigeria wangese sanaUmesikia majibu ya Covid huko lakini?
Wangese sana wale wanigeriaUmesikia majibu ya Covid huko lakini?
Mashabiki wamekuja Kwa Sababu ya ku mprove wrong Haji ManaraSi mlisema uwanja hautajazwa kwa sababu aliyekuwa anawaleta mashabiki hayupo tena,leo mnakuja na kuhoj mc tena,mlidhani atakuwa yeye milele,uwanja umejazwa sa 7.50 mchana na mashabiki wengine wapo shamba la bibi wanafuatilia tamasha lao kwenye luninga,mmeishiwa hoja,nyie mna misukule,simba ina Mungu
***** wanaleta umama kutupiga pini wanajua tu lazima lolote litokee wapumbavu sanaWangese sana wale wanigeria
Mara ya kwanza mlikuwa mnasema bila Manara hawawezi kujaza uwanja, sasaivi tena!!!!Manara ni level nyingine...kwa vile walivyojitahidi kujaza uwanja leo angekuwepo Manara pale ingekuwa hatari..
Hata hivyo tumeingiza timu uwanjani coz hakuna vyeti vinavyo onesha wachezaji hao wana corona***** wanaleta umama kutupiga pini wanajua tu lazima lolote litokee wapumbavu sana
PointTwende mbele turudi nyuma manara ana nafasi yake simba.
Wangese sana wale wanigeria
Mashabiki wamekuja Kwa Sababu ya ku mprove wrong Haji Manara
Tumeingiza timu uwanjani coz hakuna vyeti vinavyo onesha wachezaji hao wana Corona, wanatoa taarifa kienyejiMlisahau kama mlitakiwa kwenda kwao pia,nyinyi mpaka sasa Key Players wao wako hapa Dar wamezuiwa kusafiri,hao kina Feisal na wao watakaa week nzima huko na Ngao ya Jamii hawatokuwepo[emoji3][emoji3][emoji3]