OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nenda kwanza kajifunze maana ya tension. Sio unajiandikia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ùmeandika kwa hasira sana yaaniNenda kwanza kajifunze maana ya tension. Sio unajiandikia tu
Sikilizeni honest and very important opinion kutoka kwangu: Achaneni na mambo mengine yooooote ambayo hayana maana kwa nchi yetu na raia wake. Jiketeni kwanza kwenye kuikomboa nchi yetu kutoka kwenye utawala dhalimu wa CCM. Nguvu zenu zote ziwekeni kwenye maandamano ya amani yaliyopangwa ili kuweka shinikizo la mabadiliko. Tukifanikiwa kwenye hili, mambo mengine yote yatabadilika yenyewe. La , sivyo, hama hamsikii ushauri huu sasa hivi, kuna siku mtakuja kulia na kusaga meno na kuanza kuambiana, tulikuwa wajinga kweli kweli kukaa kimya!Inasikitisha sana licha ya Tanzania kuwa Taifa lenye vijana wengi wenye vipaji vingi pia.
Lakini hatuna vijana wengi wanaojulikana kimataifa kama mataifa mengine, Tukiangalia mataifa mengine Kama Nigeria ndio taifa ambalo msanii anatoa hit song moja ila anahit na kuwa nominated kwenye tuzo kubwa na value yake ya kuperform inapanda na kupita hata wasanii wakubwa mfano mzuri ni watu akina REMA, SIMI, na wengineo, ambapo hata hao wasanii wakubwa Nigeria miaka hiyo walitambulika na kupata umaarufu kwa ngoma moja tu.
Ila hapa nimegundua sio kwamba hatuna vipaji ila tatzo Bongo Uteam unaponza sanaa yetu kias kwamba wasanii wazuri ambao hawafungamani na Team yeyote hawazingatiwi.
Kuna kizazi hiki cha vijana ambao wametoka 2022,-2024. Kusema kweli ni vijana wanaojua mziki sana ila cha ajabu naona attension imeshuka tena kwao yaani msanii mchanga anaonekana tayari keshazeeka kwa sababu hazingatiwi tena
1. Dayoo
2. Lody music
3. Lony music
4. Ronze
5. Michu,
6. Mapanch BMB
7. B2K
8. Mavokali
9. Platform
10, Bryban.
ONGEZA AMBAO NIMESAHAU HAPA...
Unamaanisha wananchi wachukue nchi kutoka CCM wampe nani sasa ?Sikilizeni honest and very important opinion kutoka kwangu: Achaneni na mambo mengine yooooote ambayo hayana maana kwa nchi yetu na raia wake. Jiketeni kwanza kwenye kuikomboa nchi yetu kutoka kwenye utawala dhalimu wa CCM. Nguvu zenu zote ziwekeni kwenye maandamano ya amani yaliyopangwa ili kuweka shinikizo la mabadiliko. Tukifanikiwa kwenye hili, mambo mengine yote yatabadilika yenyewe. La , sivyo, hama hamsikii ushauri huu sasa hivi, kuna siku mtakuja kulia na kusaga meno na kuanza kuambiana, tulikuwa wajinga kweli kweli kukaa kimya!
Sijui elimu au exposure yako, lakini kama umesoma angalau form four basi utakuwa ulikuwa unakariri tu. Nakushauri jaribu kusoma kuhusu histori ya nchi mbali mbali duniani.Unamaanisha wananchi wachukue nchi kutoka CCM wampe nani sasa ?
Kifupi ni kwamba bado hujajua tunapokwama ni wapi tulia hivyo
Hivi unaowahubiria waandamane ni watanzania ambao asilimia 80 hawana silaha? Halafu waandamane dhidi ya majambazi yanayomiliki vikosi vyenye mitutu?
Uko makini kweli mkuu?
Basi nikupe hata PHD ya kwenye keyboard lakini bado haitoshi uwafanye watanzania waandamaneSijui elimu au exposure yako, lakini kama umesoma angalau form four basi utakuwa ulikuwa unakariri tu. Nakushauri jaribu kusoma kuhusu histori ya nchi mbali mbali duniani.
Na unapozungumzia exposure na elimu vinakusaidia nini kuinasua nchi kutoka kwenye makucha ya Mnyonyaji?Sijui elimu au exposure yako, lakini kama umesoma angalau form four basi utakuwa ulikuwa unakariri tu. Nakushauri jaribu kusoma kuhusu histori ya nchi mbali mbali duniani.
This is just another question which shows your understanding capacity.. Education and exposure can help remove a country's regime by empowering people with knowledge. Informed wanachi are more likely to question and challenge unjustice practices and policies. Exposure helps break down narrow viewpoints imposed by a regime and encourages citizens to question and parcipitate in activities like demostration and strikes. Karibu kwenye maandamano tarehe 24.01.24Na unapozungumzia exposure na elimu vinakusaidia nini kuinasua nchi kutoka kwenye makucha ya Mnyonyaji?
Who are you, by the way? Are you a Tanzanian representative? Have Tanzanians sent you to speak on their behalf? It would be reasonable if you speak for yourself.Basi nikupe hata PHD ya kwenye keyboard lakini bado haitoshi uwafanye watanzania waandamane
Pili mimi sio mpinzani wako, mpinzani wako ni CCM pambana nae
Sio kila anaetaka kukutoa tongo tongo machoni ukahisi anataka kukutoboa mboni.
Na wew ni nan hadì umobilize watu kuandamana?Who are you, by the way? Are you a Tanzanian representative? Have Tanzanians sent you to speak on their behalf? It would be reasonable if you speak for yourself.