Bapalidako
Member
- Aug 6, 2024
- 79
- 166
- Thread starter
-
- #41
MBoya wewe account yangu ya saving tigopesa inasoma hicho kiwango ya kwako nioneshe hata 1 million tu nione kama wewe kweli sio shoga
Mwenye hera anamiki Asset siyo Cash money,ungeniambia unanyumba unaviwanja au mashamba,sembuse hay madafu heri ungeonyesha interms of dolla Euro au paund,mshamba weweBoya wewe account yangu ya saving tigopesa inasoma hicho kiwango ya kwako nioneshe hata 1 million tu nione kama wewe kweli sio shoga
Unajua maana ya njaa,usizani ukila na kushiba uko safe,inawezekana umejitengenezea maradhi ya ujinga,lakini Ukiwa na njaa utakuwa na akili ya kutafuta utajiri siyo chakula tena nakupa hiyo elimu ya bure.Siwezi kujishusha Kwa jitu ambalo halina marinda linakuja kulaumu watu ambao hahaha nao duniani kaja kivyake na hawana undugu nae umasikini wake anafikiri Kila mtu ni njaa kama yeye
Kenya ndio wanaongoza kusikiliza bongo flavor zaidi kuliko bongo yenyewe mbona wanajua haki zao..!Bila kufichai Tasnia ya
Mziki hubeba ujumbe na nafasi kubwa Sana katiba jamii husika,
Kinyume chake ikienda tofauti basi hiyo jamii huathirika kwa namna moja au nyingine,mfano bongo fleva imewahalibu vijana wengi wanaoufwatilia washindwe kujitambua wao ni kina nani,na wananafasi gani hapa duniani.
yaani niseme wapowapo tu,hawajui haki zao wala thamani yao,ndiyo maana wamegeuka kuwa chawa wa Viongozi,na watawala,
Huwezi kufananisha na kizazi kinachosikiliza reggae kwani wanazijua haki zao na wanajitambu kutokana na mashairi kwani mara nyingi yanapingana na selikali kandamizi na dhalimu
Weeeh haya ndio mambo yangu ujue...Chaaapati....cha pa ti
Dula dula dula
Anataka kula
Dula hataki andazi
Anataka chapati. Cha pa tiπΆπΆπ
Kitu flati, kitu laini, katikati aliye na maini
Kitu flati kitu laini, katikati aliye na maini
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-tiπΆπΆπ
Wewe nani kakupa kibali cha kuniita mimi dogo.....Pole Sana dogo mtazekea kukaa kwa mama zenu na mashemeji zenu, sababu hiyo miziki haikupi hata mzuka wa kwenda kutafuta, unabaki umekaa tu sababu hujitambui
Maybe umri wako na kusikiliza mziki wa bongo fleva ndiyo vinakutuma ufanye hivyo,Mimi utajiri wangu ni Afya yangu na furaha kwa jamii inayonizunguka, siyo Cash ambayo hata nikifa siwezi kuzikwa nayoOnyesha pesa kama hata 1 million tu kwenye account Yako sijakuambia uonyeshe kama hii yangu mbona kelele nyingi Ili tukuamin wewe mpambanaji vinginevyo huna Cha kutuambia π€£π€£π€£π€£
Mzee mchonga ee mimi naujua mziki ndani nje tena nimejikita katika Ulimwengu mzima na genres mbali mbali na kwa umri wangu ni ngumu sana kuona kijana wa 90 mwishoni anawasikiza kina Elvis plesley,James Brown,Barry White,The Beatles yaani kina John Lennon na huko kwenye Reggae ndio usiseme kabisa,Kama hujui sasa Vampire Kaja kwa stairi nyingine mtakwisha vijana na mnakwisha
Bongo fleva ni sehem ndo sana, kuna michezo hswa mpira. Hii inatumika kuspin , ama kuwahamisha watu kutoka kwenye mambo ya msingi.Bila kufichai Tasnia ya
Mziki hubeba ujumbe na nafasi kubwa Sana katiba jamii husika,
Kinyume chake ikienda tofauti basi hiyo jamii huathirika kwa namna moja au nyingine,mfano bongo fleva imewahalibu vijana wengi wanaoufwatilia washindwe kujitambua wao ni kina nani,na wananafasi gani hapa duniani.
yaani niseme wapowapo tu,hawajui haki zao wala thamani yao,ndiyo maana wamegeuka kuwa chawa wa Viongozi,na watawala,
Huwezi kufananisha na kizazi kinachosikiliza reggae kwani wanazijua haki zao na wanajitambu kutokana na mashairi kwani mara nyingi yanapingana na selikali kandamizi na dhalimu
utamgundua mtu unayewasiliana naye kwa jinsi anavyojithamanisha Mwenyewe,unaweza ukawa mdogo ukapewa heshima ya mkubwa, na unaweza ukawa mkubwa lakini akili akawa kama ya mtoto
Dah Nimecheka Sana,ndiyo kizazi cha sasa hivi,tukiwaambia ukweli wanatuzalau ndiyo maana kwa muonekano tu wanazeeka mapema Kabla yetuLeo Kuna wimbo ulikuwa unapigwa sehemu nikasikia mwimbaji anaimba " nina nyegee, nina nyegee" basi nikawasha pikipiki nikaondoka kuendelea na mishe zingine
Huna jipya wewe unanuka njaa tu hapo baada upambane utoke kwenye huo umasikini unasema watu walikuzidi kipato hivi unaakili timamu kweli Yaani fukara anamsema mwenye pesaπ€£π€£π€£π€£D
Dah Nimecheka Sana,ndiyo kizazi cha sasa hivi,tukiwaambia ukweli wanatuzalau ndiyo maana kwa muonekano tu wanazeeka mapema Kabla yetu
Sawa sawautamgundua mtu unayewasiliana naye kwa jinsi anavyojithamanisha Mwenyewe,unaweza ukawa mdogo ukapewa heshima ya mkubwa, na unaweza ukawa mkubwa lakini akili akawa kama ya mtoto
Kwa kukusaidia tu, ngoja nikupe code kidogo, niliondoka nyumbani nikiwa na miaka 18 bila kuaga wazazi, niritoroka baada tu ya kumaliza form four,kipindi hicho kulikuwa na simu za mezani tu, nililudi nyumbani baada ya miaka 3 nikiwa na Dora 10,000 kipindi hicho dora ilikuwa ya kichwa kidogo, siyo Kama Zach sasa hivi za Vichwa Vikubwa na rate yake kwa Tshilings ilikuwa sawa na 650,sijui kama unanipata lakini, ngoja niishie hapo lengo langu halikuwa hilo,usipende kuwazalau watu usiyowajua,na anayejua maisha huwa hamzarau mtu,sababu yawezekana unayemzarau ndiye akaja kuwa Masada kwako, tunapata kwa kuwa na nidhamu ya maisha siyo kwa akili zetu, na tunafirisika kwa kutokuwa na nidhamu na kiburi piaHuna jipya wewe unanuka njaa tu hapo baada upambane utoke kwenye huo umasikini unasema watu walikuzidi kipato hivi unaakili timamu kweli Yaani fukara anamsema mwenye pesaπ€£π€£π€£π€£
Muziki ambao hau promote ujasiri, uchapa kazi, amani na utengamano wa Kifamia na udugu ni mziki wa hovyo.Bila kufichai Tasnia ya
Mziki hubeba ujumbe na nafasi kubwa Sana katiba jamii husika,
Kinyume chake ikienda tofauti basi hiyo jamii huathirika kwa namna moja au nyingine,mfano bongo fleva imewahalibu vijana wengi wanaoufwatilia washindwe kujitambua wao ni kina nani,na wananafasi gani hapa duniani.
yaani niseme wapowapo tu,hawajui haki zao wala thamani yao,ndiyo maana wamegeuka kuwa chawa wa Viongozi,na watawala,
Huwezi kufananisha na kizazi kinachosikiliza reggae kwani wanazijua haki zao na wanajitambu kutokana na mashairi kwani mara nyingi yanapingana na selikali kandamizi na dhalimu
Kweli kabisaMuziki ambao hau promote ujasiri, uchapa kazi, amani na utengamano wa Kifamia na udugu ni mziki wa hovyo.
Utasikia" itemee mate iteleze kama nyoka pangoni, inama inamana tuifinyie kwa ndani"
Wacha nilewe, nijipe raha.....
Wakati haufanyi kazi hizo pombe na starehe utazifanyaje? Mwisho vijana wakiwemo hao wasanii wamekuwa mabwabwa.
ππππππππππwasikiliza reggae
View attachment 3075848