Hiki kizazi kinadumazwa akili sababu ya Muziki wa Bongofleva

Boya wewe account yangu ya saving tigopesa inasoma hicho kiwango ya kwako nioneshe hata 1 million tu nione kama wewe kweli sio shoga
M
Boya wewe account yangu ya saving tigopesa inasoma hicho kiwango ya kwako nioneshe hata 1 million tu nione kama wewe kweli sio shoga
Mwenye hera anamiki Asset siyo Cash money,ungeniambia unanyumba unaviwanja au mashamba,sembuse hay madafu heri ungeonyesha interms of dolla Euro au paund,mshamba wewe
 
Siwezi kujishusha Kwa jitu ambalo halina marinda linakuja kulaumu watu ambao hahaha nao duniani kaja kivyake na hawana undugu nae umasikini wake anafikiri Kila mtu ni njaa kama yeye
Unajua maana ya njaa,usizani ukila na kushiba uko safe,inawezekana umejitengenezea maradhi ya ujinga,lakini Ukiwa na njaa utakuwa na akili ya kutafuta utajiri siyo chakula tena nakupa hiyo elimu ya bure.
 
Kenya ndio wanaongoza kusikiliza bongo flavor zaidi kuliko bongo yenyewe mbona wanajua haki zao..!
 
Weeeh haya ndio mambo yangu ujue...
Huwa nainjoi sana aiseee
Sema umesahau kusema
Wee zombiiiiiiii we zombi weeeeeeee
Watakurooga
 
Pole Sana dogo mtazekea kukaa kwa mama zenu na mashemeji zenu, sababu hiyo miziki haikupi hata mzuka wa kwenda kutafuta, unabaki umekaa tu sababu hujitambui
Wewe nani kakupa kibali cha kuniita mimi dogo.....

 
M
Onyesha pesa kama hata 1 million tu kwenye account Yako sijakuambia uonyeshe kama hii yangu mbona kelele nyingi Ili tukuamin wewe mpambanaji vinginevyo huna Cha kutuambia 🀣🀣🀣🀣
Maybe umri wako na kusikiliza mziki wa bongo fleva ndiyo vinakutuma ufanye hivyo,Mimi utajiri wangu ni Afya yangu na furaha kwa jamii inayonizunguka, siyo Cash ambayo hata nikifa siwezi kuzikwa nayo
 
Kama hujui sasa Vampire Kaja kwa stairi nyingine mtakwisha vijana na mnakwisha
Mzee mchonga ee mimi naujua mziki ndani nje tena nimejikita katika Ulimwengu mzima na genres mbali mbali na kwa umri wangu ni ngumu sana kuona kijana wa 90 mwishoni anawasikiza kina Elvis plesley,James Brown,Barry White,The Beatles yaani kina John Lennon na huko kwenye Reggae ndio usiseme kabisa,
Hard Rock,Heavy Metal, nk nawasikiza Scorpions,Led Zappelin, Foreigner,Metalica,
Nazareth,Bon Jovi na mabendi kibao
Sasa ukienda Rythm & Blues pamoja na Oldies za 70's 80's mpaka kizazi cha Gz hunambii kitu
So cool ukitaka mambo ya Mziki tutakesha hapa si wasanii waliovunja rekodi za Dunia mpaka underground wa huko Namtumbo ninao 😁
Mpaka Wazee wenzako na wa kizazi hiki pamoja na wasanii wanaonijua wanajua mimi ni Enclopedia ya Music World Wide!

Tuishie hapa hapa Mkuu nisiendelee nitaharibu hali ya Hewa!
😁😁
 
Bongo fleva ni sehem ndo sana, kuna michezo hswa mpira. Hii inatumika kuspin , ama kuwahamisha watu kutoka kwenye mambo ya msingi.
Chanzo kikuu ni elimu
 
Leo Kuna wimbo ulikuwa unapigwa sehemu nikasikia mwimbaji anaimba " nina nyegee, nina nyegee" basi nikawasha pikipiki nikaondoka kuendelea na mishe zingine
 
D
Leo Kuna wimbo ulikuwa unapigwa sehemu nikasikia mwimbaji anaimba " nina nyegee, nina nyegee" basi nikawasha pikipiki nikaondoka kuendelea na mishe zingine
Dah Nimecheka Sana,ndiyo kizazi cha sasa hivi,tukiwaambia ukweli wanatuzalau ndiyo maana kwa muonekano tu wanazeeka mapema Kabla yetu
 
D

Dah Nimecheka Sana,ndiyo kizazi cha sasa hivi,tukiwaambia ukweli wanatuzalau ndiyo maana kwa muonekano tu wanazeeka mapema Kabla yetu
Huna jipya wewe unanuka njaa tu hapo baada upambane utoke kwenye huo umasikini unasema watu walikuzidi kipato hivi unaakili timamu kweli Yaani fukara anamsema mwenye pesa🀣🀣🀣🀣
 
Yap,uko right ila hyo yote ni maelezo point kubwa haswa nayo iona labda ungesem ni utandawazi unaobeba nyakati maan usifikirie sas t vp kuhus kizaz kijacho angal nyakat zinazidi kwend nakubadilik
 
Huna jipya wewe unanuka njaa tu hapo baada upambane utoke kwenye huo umasikini unasema watu walikuzidi kipato hivi unaakili timamu kweli Yaani fukara anamsema mwenye pesa🀣🀣🀣🀣
Kwa kukusaidia tu, ngoja nikupe code kidogo, niliondoka nyumbani nikiwa na miaka 18 bila kuaga wazazi, niritoroka baada tu ya kumaliza form four,kipindi hicho kulikuwa na simu za mezani tu, nililudi nyumbani baada ya miaka 3 nikiwa na Dora 10,000 kipindi hicho dora ilikuwa ya kichwa kidogo, siyo Kama Zach sasa hivi za Vichwa Vikubwa na rate yake kwa Tshilings ilikuwa sawa na 650,sijui kama unanipata lakini, ngoja niishie hapo lengo langu halikuwa hilo,usipende kuwazalau watu usiyowajua,na anayejua maisha huwa hamzarau mtu,sababu yawezekana unayemzarau ndiye akaja kuwa Masada kwako, tunapata kwa kuwa na nidhamu ya maisha siyo kwa akili zetu, na tunafirisika kwa kutokuwa na nidhamu na kiburi pia
 
KIZAZI CHA MACHAWA, MASHOGA NA WASAGANAJI KITABISHA.
 
Muziki ambao hau promote ujasiri, uchapa kazi, amani na utengamano wa Kifamia na udugu ni mziki wa hovyo.

Utasikia" itemee mate iteleze kama nyoka pangoni, inama inamana tuifinyie kwa ndani"

Wacha nilewe, nijipe raha.....


Wakati haufanyi kazi hizo pombe na starehe utazifanyaje? Mwisho vijana wakiwemo hao wasanii wamekuwa mabwabwa.
 
Kweli kabisa
 
Nchi na watu wamekuwa wakata mauno...

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…