Hiki ndicho kilicho nyuma ya Kauli Mbiu mpya ya Simba SC isemayo We are Unstoppable

Hiki ndicho kilicho nyuma ya Kauli Mbiu mpya ya Simba SC isemayo We are Unstoppable

Basi mi Yangaa mnafurahishwaa na huyu shabiki mmoja kati ya mamilioni wa Simba
Tulia basi! Sisi mashabiki wa simba tunaumia sana moyoni! Haiwezekani mpaka leo hatujui ziliko jezi za msimu huu!

Haiwezekani keshokutwa nane nane tutokelezee na jezi za sportpesa, huku mdhamini wa sasa wa timu yetu akiwa ni Mbet!

Hii ni hujuma ya waziwazi! Ndiyo maana tunaungana na shabiki mwenzetu kudai jezi mpya, lakini pia kuondoa ujanja ujanja kwa viongozi wetu.
 
Tulia basi! Sisi mashabiki wa simba tunaumia sana moyoni! Haiwezekani mpaka leo hatujui ziliko jezi za msimu huu!

Haiwezekani keshokutwa nane nane tutokelezee na jezi za sportpesa, huku mdhamini wa sasa wa timu yetu akiwa ni Mbet!

Hii ni hujuma ya waziwazi! Ndiyo maana tunaungana na shabiki mwenzetu kudai jezi mpya, lakini pia kuondoa ujanja ujanja kwa viongozi wetu.
Do you really expect that 'Cockroache' to understand you Chief?
 
Ni kwamba baada ya kuwa na tabia ya Kuhonga Marefa na Wachezaji wa Timu Pinzani na kuwa Bingwa wa Ligi Kuu kwa miaka Minne mfululizo na Yanga SC nao Kuiga Mbinu hiyo waliyopewa na Haji Manara ( aliyekuwa Simba SC) na Wao kuwa Mabingwa Msimu ulioisha ni kwamba Simba SC wameamua kuurudia huo Utamaduni na tayari Bajeti Maalum ya Kazi hiyo Chafu imeshatengwa na ndiyo maana hivi sasa mnaambiwa We are Unstoppable (Hatuzuiliki na Hatushikiki ) na kwamba Msimu huu Ujao vyote vilivyopotea Simba SC vitarudi.

Nami GENTAMYCINE kupitia huu huu Uzi wangu NAWAONYA Simba SC kuwa kama kuna Mtu ambaye nje tu ya Kusajili vizuri Msimu huu ila AMEKASIRIKA na anautaka Ubingwa kwa GHARAMA yoyote ile ni Yusuf Bakhressa na Azam FC yake.

Wakati Simba SC wakitenga Bajeti ya Tsh Bilioni 2 ya Kazi Chafu ( Kuhonga Marefa na Timu hasa Makocha na Wachezaji ) ili Warejeshe vyote Vilivyopotea Wenzao wa Yanga SC wametenga Tsh Bilioni 3 ila Yusuf wa Azam FC ametenga Tsh Bilioni 8 kwa Kazi hiyo na anasema ni Aibu kwa Azam Kudhamini Ligi kwa 'Mipesa' mingi halafu Ubingwa habebi hivyo sasa Tajiri kaamua kuingia 'Front' Mwenyewe.

Kwa Kufuru ambayo Dogo Yusuf Bakhressa anaenda Kuifanya naomba GENTAMYCINE niwe wa Kwanza Kuwapongeza Azam FC kwa kuwa Mabingwa wapya wa NBC Premier League ( 2022 / 2023 ) na Kuzitaka Yanga SC na Simba SC zipambane tu Kugombea Nafasi za Pili na Tatu ila Ubingwa Wasahau.

Mmenikera sana leo kwa Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na Kunifanya Nikeshe kama Popo had Alfajiri ( Asubuhi ) hii. Mtanitambua.....!!!!!
Uongo na umbea unakusaidia nini mtoto wa kiume? Wacha noma zako za kishamba
 
Kocha Zoran Maki anamtaka huyu Mserbia hapa Pichani ila Sisi wana Simba SC tunaojua Mpira hasa huu wa Tanzania na Afrika tunamtaka Ceaser Lobi Manzoki.

Manzoki asiposajiliwa naacha Kuishabikia Simba SC Milele kwani ndiyo Mshambuliaji Suluhisho katika Safu ya Ushambuliaji ya Simba SC iliyokuwa na matatizo Msimu ulioisha.
👆👆👆👆
 
Back
Top Bottom