Hiki ndicho kinachowaangusha Simba

Gadiel si mlimchukua Yanga kwa mbwembwe, leo mnamuona garasa? Mkuu mnakikosi kipana so tulieni tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini Simba si inasifika kuwa na kikosi kipana, iweje leo waonekane wengine ni hovyo na wengine ndio wazuri?
Hujaelewa, na kwanini unasema achezaji wa hovyo, hakuna wachezaji wa hovyo.
Mi nazungumzia kikosi cha Kwanza.
Hakuna timu ambayo haina kikosi cha Kwanza.
Isipokuwa Simba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…