Sio,
Kwanini wachezaji wa kikosi cha Kwanza hawafahamiki na makocha.
Timu gani isiyo na Kikosi cha Kwanza.
Ulishawahi kuona Rinaldo anapumzishwa bila sababu.
Kama haumwi ni lazima apangwe.
Kikosi cha ushindi ni lazima Kocha akifahamu.
Yaani Mtibwa unawawekea
Santos
Shamte
Gadiel
Kama mabeki halafu wakukose.
Sent using
Jamii Forums mobile app