Hiki ndicho kipimo cha upendo kwa Platinumz ama ni ushabiki upepo?

Atajaza diamond
!!!!Hivi ameshamnunulia Wema vifaa ya ofisin na kumpangishia jumba la kifahari
Sorry naomba hapa apajibu evelyn atakua anajua

kuwa mwanamke raha kumbe?
haya Evelyn Salt kuja uongee na Dinazarde..!

Nini kupewa jumba la kifahari bana diamond ndo happiness yake
With diamond haitaji hata jumba la kifahari ni malove tu
plattttt beibiiiii
 
Nini kupewa jumba la kifahari bana diamond ndo happiness yake
With diamond haitaji hata jumba la kifahari ni malove tu
plattttt beibiiiii

Wacha wee na kula anakula hayo maloveee??
 
Tunatofautiana kwenye upande wa shows....Me binafsi siwezi kwenda show ya Diamond sababu sio Die-hard fan wake ila Lady Jay Dee anaweza akanikamata akiwa na Band yake....akipiga nyimbo zile za kiutu-uzima....Si unajua tena?Ila hao wakina Ommy Dimpoz na wenzake nitawasupport kwa kununua kazi zao ila Show zao siziwezi.......Labda,Vanessa Mdee anaweza kupata kiingilio changu bila ubishi.........Divas!!
Upande wa wakaka mmmh labda Rama Dee,Ben Pol Kidogo,Mad Ice,Banana na huwa naenjoy Kina JhikoMan(Damn! napenda band yake)...
 

Diamond anakubarika hapo atajaza. Labda kama akipiga na Rich mavoko hapo kazi nzito. Maana naona Rich Mavoko nae anakuja kwa kasi sana katika gemu. Binafsi namkubali Rich Mavoko
 

Pale anaposema,"hapo hapo uliposhika,ukiongeza kidogo nitaumia" Nahisi hazungumzii ngono...

"Nlikuwepo":bolt:
 
una uhakika humfahamu almasi?
.
Kaka kuna jamaa aliniambia yupo hivi apa
.

.
Sasa kweli binadamu wa kawaida yupo hivi... Kama sio huyu naomba picha yake tafadhari
 
Pale anaposema,"hapo hapo uliposhika,ukiongeza kidogo nitaumia" Nahisi hazungumzii ngono...

"Nlikuwepo":bolt:

mapenzi na ngono.. there is a smooth line separating them!

narudia, smooth line..! that means, it can be crossed!
 
Diamond anakubarika hapo atajaza. Labda kama akipiga na Rich mavoko hapo kazi nzito. Maana naona Rich Mavoko nae anakuja kwa kasi sana katika gemu. Binafsi namkubali Rich Mavoko

mkuu kwa hali ya sasa, rich mavoko is uncomparable to diamond ... anachofanya diamond., rich atafanya kwa asilimia 60 tu, i assure you that..

diamond sasa ameshakuwa mwanamziki wa kimataifa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…