Hiki Ndicho Kitu Nachukia na kunikera Kuliko Kawaida!

Hiki Ndicho Kitu Nachukia na kunikera Kuliko Kawaida!

Ctech

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
754
Reaction score
818
Natumai mmeamka vyema Makamanda kwa kudra zake mwenyezi Mungu!

Katika maisha ya mwanadamu aliye na uchu wa maendeleo na uchu wa kutumia muda wake hakuna kitu kinakera kwake kama kukaa bila shughuli!

Sawa na mimi, siku yangu huwa mbovu na naweza kushindwa kufikiri sawia endapo ninaamka na siku nzima nakaa kijiweni au nyumbani bila shughuli yoyote ya Msingi!
Pamoja na Kuwa na Kashahada kamoja ila sipendi kujionyesha, ikijitokeza shuguli yoyote ilimradi inanipa kakipato mimi huwa naweka shahada pembeni na napiga kazi!.. Hii imenisaidia sana!

Ewe Kijana mwenzangu katika maisha ya mtaani ninakusihi ficha shahada yako..kwanini? kuna watu mtaani hawana elimu ila wana pesa na wana madili.. sasa tatizo linakuja pale wao wakifahamu una shahada wanakuwa na inferiority complex flani ivi kwamba "Huyu mtu ana elimu hii shughuli hawezi kuifanya" kumbuka ni shughuli ina pesa nzuri labda 50K siku nzima.. ila kwa kuwa umeshajitambulisha una shahada unaikosa!

Maisha ya kitaa yanahitaji maarifa, ukiongeza elimu kwenye maarifa lazima utoboe!

Your Elder Bro!

Santana
 
Mara darasa la saba

Kwenye huu uzi unatuambia una shahada moja

Mwisho wa siku nyuzi zako zitakuwa ivalid
Chukua ujumbe Mkuu, Mambo ya Darasa la saba yaishie kwenye ule uzi mwingine!
 
Natumai mmeamka vyema Makamanda kwa kudra zake mwenyezi Mungu!

Katika maisha ya mwanadamu aliye na uchu wa maendeleo na uchu wa kutumia muda wake hakuna kitu kinakera kwake kama kukaa bila shughuli!

Sawa na mimi, siku yangu huwa mbovu na naweza kushindwa kufikiri sawia endapo ninaamka na siku nzima nakaa kijiweni au nyumbani bila shughuli yoyote ya Msingi!
Pamoja na Kuwa na Kashahada kamoja ila sipendi kujionyesha, ikijitokeza shuguli yoyote ilimradi inanipa kakipato mimi huwa naweka shahada pembeni na napiga kazi!.. Hii imenisaidia sana!

Ewe Kijana mwenzangu katika maisha ya mtaani ninakusihi ficha shahada yako..kwanini? kuna watu mtaani hawana elimu ila wana pesa na wana madili.. sasa tatizo linakuja pale wao wakifahamu una shahada wanakuwa na inferiority complex flani ivi kwamba "Huyu mtu ana elimu hii shughuli hawezi kuifanya" kumbuka ni shughuli ina pesa nzuri labda 50K siku nzima.. ila kwa kuwa umeshajitambulisha una shahada unaikosa!

Maisha ya kitaa yanahitaji maarifa, ukiongeza elimu kwenye maarifa lazima utoboe!

Your Elder Bro!

Santana
Umesema ukweli mkuu mtaani unakosa dili nyingi za pesa wakijua umesoma wanaona huendani nazo kabisa
 
Mkuu sio kila kilicho baharini kiwe na mashine sisi wengine ni maboya huwa tunaelea tu. Lakini kuna kitu kimetuzuwia usione kila aliekuwepo kijiweni yupo yupo tu kama misukule. Kuna kazi za kukuingizia hela bila hata kubeba kitu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Mkuu sio kila kilicho baharini kiwe na mashine sisi wengine ni maboya huwa tunaelea tu. Lakini kuna kitu kimetuzuwia usione kila aliekuwepo kijiweni yupo yupo tu kama misukule. Kuna kazi za kukuingizia hela bila hata kubeba kitu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Tupeane Mbinu mkuu, tofauti na wizi!
 
Back
Top Bottom