Sasa wakimchukua mke wangu mimi nitapungukiwa na ninj?Omba wasikutane na mkeo wakimpenda huwa wanatongoza kabisa hao wasagaji yaani hapo utakuwa huna mke tena maana namna yao yakufanya mapenzi ni tofauti kabisa na mwanaume wana uwezo mkubwa wakufanya mapenzi wao kwa wao kwa muda usiopungua masaa 4 hadi sita kama ni mkeo unapapasa kwa dakika 45 tena nyingi deki ndiyo hataree sana na ndiyo kitu wanapenda kufanyiana ni swala la muda tu wako kila kona.
Arifu tulia jamaa ajielezee kwanzaYani mwanaume unakuwa na hisia za kupelekewa moto?? [emoji44][emoji44]
thanks for the compliment and ubarikiweAsante sana Confession, kwa namna unavyojibu maswali humu, hata yanayokwaza, napenda nikupongeze you are a good guy. I wish you all the best.
watu huelewa from their own level of understanding and kuhusu ushauri nishatoaNo I'm not struggling. But would you please share your experience (if you don't mind), as in how you ended up being who you are now.
I think it will be a great lesson to people and may be it will change their perceptions about LGBT and at the same time help them in the upbringing of their young ones.
Thank you for being understanding.
Ndio babu watoto wa kishua wengi ndio wana mambo ya kusagana na kutifuana kuliko watoto wa mlo mmoja.
Mzazi unatakiwa kujua kwanini Mungu alimuumba mtoto, Mungu amemuumba kila mtoto kwa kusudi lake, KWAMBA SI KUSUDi LA MUNGU KUUMBA MSAGAJI AU SHOGA.Umesha anzisha familia? Namaanisha mume na mke, halafu mmebahatika kupata watoto?
Maisha ya duniani yaacheni yapite, maumivu ayapatayo mzazi kwa mienendo mibovu ya watoto hayapimiki.
Muombe sana Muumba wako akunyoshee uzao wako.
Hakuna mzazi aliye fundi kwenye malezi ya watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.
sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
meena ally apo umemuoneaHao dawa Yao ni kupiga pumbu alaf unachora hao ni type ya akina salama, sjui DJ Fety , mamy baibe , Mina ally and the like ...hakuna kuweka kambi hapo....
Sio MUNGU ndio awasaidie?Yesu awasaidie aisee!
So sad!
Na hii laana inayembea vizazi na vizazi
hata hii tabia ya wanawake kwa wanawake kuitana "mpenzi" huo mwisho sio mzuri.Hawa watoto wa siku hizi u lesbian ndio michezo yao. Mtoto wa kike anamwita wakike mwenzie 'mume'. Nilishangaa sana.
Na twinhata hii tabia ya wanawake kwa wanawake kuitana "mpenzi" huo mwisho sio mzuri.
DJ fty Kwa sasa naona kaachaHao dawa Yao ni kupiga pumbu alaf unachora hao ni type ya akina salama, sjui DJ Fety , mamy baibe , Mina ally and the like ...hakuna kuweka kambi hapo....
Bado hujalea mkuuHivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.