cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hakika umeongea jambo muhimu mno.KUPANGA NI KUCHAGUA ACHENI KUINGILIA MAAMUZI YA MTU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika umeongea jambo muhimu mno.KUPANGA NI KUCHAGUA ACHENI KUINGILIA MAAMUZI YA MTU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimbandua huwa hakuiti baby au my.Ye anakuitaga boy wangu.Utashangaa anakutumia msg oyaaa boy sina pedi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lolWanaume wenyewe washa kua wanawake ngoma draw
Nakukubali sana kwenye kuzingatia privacy za watu, ubarikiwe sana.Hawa ukiwafuatilia sana, ujue unawapenda kwa mahaba, pengine bila kujijua.
Mimi kama hawaniingilii reli zangu kwa nini nijali mambo yao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huu uzi hizo comments sasa, mweeeeh lol
Hawa ni masela sio mabintiKama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBTView attachment 1763881
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comments za huu uzi ni burudani tosha.Uko full happy mwenyewe.
Achana na comment za humu mie comment zako zote uko watabasam kama nakuona yaani hahaha.Mada km hizi ndo zinazopendwa kujadiliwa humu, ila wanajifanya hawataki kuzisikia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafiki tyuuuh lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tufurahi tyuuh hakna namna.Achana na comment za humu mie comment zako zote uko watabasam kama nakuona yaani hahaha.
Mwe ...sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Kwa iyo mkuu wanakupakua kisamvu?sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Keshasema yeye ni Gay a.k.a SHOGAMkuu we ni Ke au Me?
Kwa iyo mkuu una feel kupakuliwa na kupumuliwa kisogoni na lijamaa kwako fresh tu..mbona jibu lipo wazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja alikuwaga ananiita "oyaa Chalo angu upo fasi ya geto nije" Delila dah halafu wanakuwaga wazuri balaaUkimbandua huwa hakuiti baby au my.Ye anakuitaga boy wangu.Utashangaa anakutumia msg oyaaa boy sina pedi.
😁😁😁Kwa iyo mkuu wanakupakua kisamvu?