Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

Hawa ukiwafuatilia sana, ujue unawapenda kwa mahaba, pengine bila kujijua.

Mimi kama hawaniingilii reli zangu kwa nini nijali mambo yao?
Nakukubali sana kwenye kuzingatia privacy za watu, ubarikiwe sana.
 
Mada km hizi ndo zinazopendwa kujadiliwa humu, ila wanajifanya hawataki kuzisikia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafiki tyuuuh lol.
 
Mada km hizi ndo zinazopendwa kujadiliwa humu, ila wanajifanya hawataki kuzisikia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafiki tyuuuh lol.
Achana na comment za humu mie comment zako zote uko watabasam kama nakuona yaani hahaha.
 
Ukimbandua huwa hakuiti baby au my.Ye anakuitaga boy wangu.Utashangaa anakutumia msg oyaaa boy sina pedi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja alikuwaga ananiita "oyaa Chalo angu upo fasi ya geto nije" Delila dah halafu wanakuwaga wazuri balaa
 
Back
Top Bottom