hapa hatuongelei wingi wa wanafunzi wanaoomba,after all Muccobs inachukua wanafunzi wachache na not less than 4.5 credit,IFM ni zoa zoa kuna msela wangu alikuwa na 2.0(E,E,F) yuko pale anapiga Ba of accountancy! Kuna jamaa zangu wamepiga HGL,HGK wako IFM wanapiga banking and finance,accountancy,je kuna ubora upi pale darasa lina watu 700,lect 1? Muccobs Baaf tuko 70,accounting maclecturer wamegawana topics,mfano a/c two kuna maclucturer 4,a/c three malecturer 5,a/c four malecturer 5, waulize ifm na mzumbe kama wanaijua a/c four? Waulize kama wanaijua saccos a/c?, a/c ya Ifm ya kijinga mwanafunzi anafanya mtihani wa kuchagua maswali yote, hvyo sana pale. DOGO perry usijifanye unajua kila kitu,wanafunzi wenyewe wa ifm a/c wanajua mziki wa Muccobs,waulize watakwambia kama ni wasema kweli..nenda NBAA Wakwambie, nenda BOA bank kila branch kama utakosa majembe ya muccobs,nenda TIB, nenda kokote, nenda bank za ushirika na saccos huko ndo wamelala,nenda kaka,nenda...nenda utakuja kunambia.