KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
TAFSIRI YA MANENO YANAYOTOKA NA “KISWAHILI” KWA MUJIBU WA WASWAHILI WENYEWE.
“Saa ya Kiswahili”: Saa isiyozingatia muda wa miadi (ni kinyume cha, “saa ya kizungu” ambayo humaanisha, “Juu ya alama”)
“Uswahili”: Tabia ya ubabaishaji, iliyopungukiwa weledi na ustaarabu!
“Uswahilini (au uswazi)”: Kwenye makazi holela na mpangilio hafifu, chochoro nyingi na msongamano watu.
“Mtu mswahili”: Mtu asiyeaminika, mjanja-mjanja asiye na mipango.
“Ahadi ya Kiswahili”: Ahadi hewa!
“Kupigwa Kiswahili”: kupigwa chenga kwa kutumia maneno matupu!
“Kiswahili kingi”: Porojo tupu zisizo na mashiko!
“Saa ya Kiswahili”: Saa isiyozingatia muda wa miadi (ni kinyume cha, “saa ya kizungu” ambayo humaanisha, “Juu ya alama”)
“Uswahili”: Tabia ya ubabaishaji, iliyopungukiwa weledi na ustaarabu!
“Uswahilini (au uswazi)”: Kwenye makazi holela na mpangilio hafifu, chochoro nyingi na msongamano watu.
“Mtu mswahili”: Mtu asiyeaminika, mjanja-mjanja asiye na mipango.
“Ahadi ya Kiswahili”: Ahadi hewa!
“Kupigwa Kiswahili”: kupigwa chenga kwa kutumia maneno matupu!
“Kiswahili kingi”: Porojo tupu zisizo na mashiko!