Hiki ndio sijapenda kwenye 40 ya mtoto wa Diamond

Hiki ndio sijapenda kwenye 40 ya mtoto wa Diamond

Kwanza nampongeza Mondi na Tanasha kupata mtoto iliopekea kufanyika kwa arobaini ya mtoto. Kwa sisi tulioangalia kwenye tv sharehe ilikuwa nzuri kuanzia mapambo na mambo mengine.

Jambo ambalo honest sijafurahishwa nalo ni wakati kwenye kipengele cha utunzwaji wa Mondi ambapo Lulu Diva anaenda kumtunza Mondi kiukweli pesa alitoa nyingi lakini kitu kilinishangaza ni kumkatikia Mondi kimahaba wakati mmiliki Tanasha yupo kwenye tukio na hakukuwa na ulazima wakufanya hivyo.Hawa macelebrities wa kike wanakwama wapi?jifunzeni kwa madam Rita ambae hakufanya mbwembwe zozote kwenye kumtunza Mondi lakini pia ni mama mwenye kujiheshimu.

Lulu Diva unafanyaje mambo ya ovyo Kama hayo wakati tukio nzima linatazamwa na watu wengi.Yaani ingekuwa ndo Mimi nafanyiwa Kama Mondi alafu mpenzi wangu yupo kwenye tukio shuhhuli ingeisha hapo hapo maana mpenzi wangu ana wivu uliopita ile mbaya kitendo tu Mimi kusalimiana na mwanake kwa mkono tu lazima aanzishe timbili.
Wewe hujapenda kama nani? au wewe ndio Tanasha mwenyewe?
 
Uliona wapi wa zinzi waka liana wivu.
Kwanza nampongeza Mondi na Tanasha kupata mtoto iliopekea kufanyika kwa arobaini ya mtoto. Kwa sisi tulioangalia kwenye tv sharehe ilikuwa nzuri kuanzia mapambo na mambo mengine.

Jambo ambalo honest sijafurahishwa nalo ni wakati kwenye kipengele cha utunzwaji wa Mondi ambapo Lulu Diva anaenda kumtunza Mondi kiukweli pesa alitoa nyingi lakini kitu kilinishangaza ni kumkatikia Mondi kimahaba wakati mmiliki Tanasha yupo kwenye tukio na hakukuwa na ulazima wakufanya hivyo.Hawa macelebrities wa kike wanakwama wapi?jifunzeni kwa madam Rita ambae hakufanya mbwembwe zozote kwenye kumtunza Mondi lakini pia ni mama mwenye kujiheshimu.

Lulu Diva unafanyaje mambo ya ovyo Kama hayo wakati tukio nzima linatazamwa na watu wengi.Yaani ingekuwa ndo Mimi nafanyiwa Kama Mondi alafu mpenzi wangu yupo kwenye tukio shuhhuli ingeisha hapo hapo maana mpenzi wangu ana wivu uliopita ile mbaya kitendo tu Mimi kusalimiana na mwanake kwa mkono tu lazima aanzishe timbili.
 
Kwanza nampongeza Mondi na Tanasha kupata mtoto iliopekea kufanyika kwa arobaini ya mtoto. Kwa sisi tulioangalia kwenye tv sharehe ilikuwa nzuri kuanzia mapambo na mambo mengine.

Jambo ambalo honest sijafurahishwa nalo ni wakati kwenye kipengele cha utunzwaji wa Mondi ambapo Lulu Diva anaenda kumtunza Mondi kiukweli pesa alitoa nyingi lakini kitu kilinishangaza ni kumkatikia Mondi kimahaba wakati mmiliki Tanasha yupo kwenye tukio na hakukuwa na ulazima wakufanya hivyo.Hawa macelebrities wa kike wanakwama wapi?jifunzeni kwa madam Rita ambae hakufanya mbwembwe zozote kwenye kumtunza Mondi lakini pia ni mama mwenye kujiheshimu.

Lulu Diva unafanyaje mambo ya ovyo Kama hayo wakati tukio nzima linatazamwa na watu wengi.Yaani ingekuwa ndo Mimi nafanyiwa Kama Mondi alafu mpenzi wangu yupo kwenye tukio shuhhuli ingeisha hapo hapo maana mpenzi wangu ana wivu uliopita ile mbaya kitendo tu Mimi kusalimiana na mwanake kwa mkono tu lazima aanzishe timbili.
kumbe we ni Me.....? daah
 
Sema habari kama hizi bila kusindikizwa na picha au kavideo huwa hazinogi....ningefurahi sana kuiona miuno ya hiyo mwanamwali.
 
Unahela wewe? Kama huna unahisi kuna wa kukukatikia?

Acha watu waishi maisha yao
 
Akikua ataacha....alisema hajafikisha hata twentiii...🙄🤣🤣🤣
 
Kwanza nampongeza Mondi na Tanasha kupata mtoto iliopekea kufanyika kwa arobaini ya mtoto. Kwa sisi tulioangalia kwenye tv sharehe ilikuwa nzuri kuanzia mapambo na mambo mengine.

Jambo ambalo honest sijafurahishwa nalo ni wakati kwenye kipengele cha utunzwaji wa Mondi ambapo Lulu Diva anaenda kumtunza Mondi kiukweli pesa alitoa nyingi lakini kitu kilinishangaza ni kumkatikia Mondi kimahaba wakati mmiliki Tanasha yupo kwenye tukio na hakukuwa na ulazima wakufanya hivyo.Hawa macelebrities wa kike wanakwama wapi?jifunzeni kwa madam Rita ambae hakufanya mbwembwe zozote kwenye kumtunza Mondi lakini pia ni mama mwenye kujiheshimu.

Lulu Diva unafanyaje mambo ya ovyo Kama hayo wakati tukio nzima linatazamwa na watu wengi.Yaani ingekuwa ndo Mimi nafanyiwa Kama Mondi alafu mpenzi wangu yupo kwenye tukio shuhhuli ingeisha hapo hapo maana mpenzi wangu ana wivu uliopita ile mbaya kitendo tu Mimi kusalimiana na mwanake kwa mkono tu lazima aanzishe timbili.

Watoa habar za udaku walisema luludiva ni chakula yake mondi
 
Watoa habar za udaku walisema luludiva ni chakula yake mondi
Hata Kama ni mtu wake hakupaswa afanye vile mbele ya tanasha mfano mchepuko wako anakukatikia kimahaba alafu mbele ya mpenzi wako au mke wako hii inaleta picha gani? Lulu diva alitakiwa afanye sehemu nyingine ila sio pale.
 
Kwanza nampongeza Mondi na Tanasha kupata mtoto iliopekea kufanyika kwa arobaini ya mtoto. Kwa sisi tulioangalia kwenye tv sharehe ilikuwa nzuri kuanzia mapambo na mambo mengine.

Jambo ambalo honest sijafurahishwa nalo ni wakati kwenye kipengele cha utunzwaji wa Mondi ambapo Lulu Diva anaenda kumtunza Mondi kiukweli pesa alitoa nyingi lakini kitu kilinishangaza ni kumkatikia Mondi kimahaba wakati mmiliki Tanasha yupo kwenye tukio na hakukuwa na ulazima wakufanya hivyo.Hawa macelebrities wa kike wanakwama wapi?jifunzeni kwa madam Rita ambae hakufanya mbwembwe zozote kwenye kumtunza Mondi lakini pia ni mama mwenye kujiheshimu.

Lulu Diva unafanyaje mambo ya ovyo Kama hayo wakati tukio nzima linatazamwa na watu wengi.Yaani ingekuwa ndo Mimi nafanyiwa Kama Mondi alafu mpenzi wangu yupo kwenye tukio shuhhuli ingeisha hapo hapo maana mpenzi wangu ana wivu uliopita ile mbaya kitendo tu Mimi kusalimiana na mwanake kwa mkono tu lazima aanzishe timbili.

Sikupenda wadada kushindana kutikisa makalio. Lengo la ile sherehe na kilichokua kinatendeka ilikua tofauti

Tunaomba hiyo video ya hizo mauno tafazalini
 
Kwanza nampongeza Mondi na Tanasha kupata mtoto iliopekea kufanyika kwa arobaini ya mtoto. Kwa sisi tulioangalia kwenye tv sharehe ilikuwa nzuri kuanzia mapambo na mambo mengine.

Jambo ambalo honest sijafurahishwa nalo ni wakati kwenye kipengele cha utunzwaji wa Mondi ambapo Lulu Diva anaenda kumtunza Mondi kiukweli pesa alitoa nyingi lakini kitu kilinishangaza ni kumkatikia Mondi kimahaba wakati mmiliki Tanasha yupo kwenye tukio na hakukuwa na ulazima wakufanya hivyo.Hawa macelebrities wa kike wanakwama wapi?jifunzeni kwa madam Rita ambae hakufanya mbwembwe zozote kwenye kumtunza Mondi lakini pia ni mama mwenye kujiheshimu.

Lulu Diva unafanyaje mambo ya ovyo Kama hayo wakati tukio nzima linatazamwa na watu wengi.Yaani ingekuwa ndo Mimi nafanyiwa Kama Mondi alafu mpenzi wangu yupo kwenye tukio shuhhuli ingeisha hapo hapo maana mpenzi wangu ana wivu uliopita ile mbaya kitendo tu Mimi kusalimiana na mwanake kwa mkono tu lazima aanzishe timbili.

Fools paradise!
 
acha kumuonea wevu Lulu Diva, kama na wewe unataka nenda kamkatikie huyo Diamond.
 
Aiseee hadi lulu diva anaonewa wivu daah
 
mtoto hushauliwa kutoka ne siku ya 40 toka alipozaliwa
ko watu wenye uwezo wao ndo huwafanyia hzo sherehe na hayo ni moja ya mambo atakayokutananayo ulimwenguni ko hapo alikuwa anaoneshwa tu yanayojiri huku nje
Ndo alikuwa anaonyeshwa Yale mauno
 
mtoto hushauliwa kutoka ne siku ya 40 toka alipozaliwa
ko watu wenye uwezo wao ndo huwafanyia hzo sherehe na hayo ni moja ya mambo atakayokutananayo ulimwenguni ko hapo alikuwa anaoneshwa tu yanayojiri huku nje
Hivi ni kweli mtoto aliyepatikana kwa zinaa [mwana haramu] hufanyiwa maulidi????
Au ndiyo mambo ya siku hizi??? Huyo bwana Naseeb ana watoto karibia 5 na wote ni wa nje ya ndoa.
 
Back
Top Bottom