masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Wee utasinzia kaziniNiongeze nini?iwe mlo kamili
Karibuni
Parachichi na chai hua vinaenda..?Niongeze nini?iwe mlo kamili
Karibuni
Hapo kwenye chai mimi ningetumia ya rangi,hapo siongezi chochote zaidi ya kudai sahani nyingine ya makande...Niongeze nini?iwe mlo kamili
Karibuni
Unaweza kula sahani tatu etiHapo kwenye chai mimi ningetumia ya rangi,hapo siongezi chocchote hapo zaidi ya kudai sahani nyingine ya makande...
Kwa nini?We ni mgonjwa.
Ki ukweliKwanini usinywe chai ya rangi kuliko maziwa
Sio kweliishu ni muda wa kupumua bila pua hapo utawatesa wenzio ukisinzia na kulost control ya kijamb io
Aisee bora kuliko chapatini mlo mzuri
sema una nishati nyingi
unene nje nje
Rekodi ya dunia ya kifungua kinywa na kiporo inashikiliwa na wali maharage na chai ya rangi ππKwanini usinywe chai ya rangi kuliko maziwa
Parachichi unaweza ukala hata na parachichi mwenzakeParachichi na chai hua vinaenda..?
Huyo hana mpinzaniRekodi ya dunia ya kifungua kinywa na kiporo inashikiliwa na wali maharage na chai ya rangi ππ