Hiki ni chama hatari, kinaweza kumpa mtu kesi ya kuua

Hiki ni chama hatari, kinaweza kumpa mtu kesi ya kuua

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20220804-194433_Chrome.jpg


Fikiria chama kinaweza kumpa mtu kesi ya kuua. Ili ahukumiwe kifo au jela maisha.

Fikiria chama hiki kinaweza kumpa mtu kesi ya ugaidi. Kikashirikiana na polisi na mwenyekiti wa hicho chama akatoka hadharani na kukazia kwamba wana ushahidi mtuhumiwa alipanga ugaidi.

Je, hiki chama kinaweza kujali maisha yako na ustawi wa taifa? Kinawezaje kujali hilo kama kinakosa hofu ya Mungu na kumpa mtu kesi ya mauaji au ugaidi?
 
View attachment 2314263

Fikiria chama kinaweza kumpa mtu kesi ya kuua. Ili ahukumiwe kifo au jela maisha.

Fikiria chama hiki kinaweza kumpa mtu kesi ya ugaidi. Kikashirikiana na polisi na mwenyekiti wa hicho chama akatoka hadharani na kukazia kwamba wana ushahidi mtuhumiwa alipanga ugaidi.

Je,hiki chama kinaweza kujali maisha yako na ustawi wa taifa? Kinawezaje kujali hilo kama kinakosa hofu ya Mungu na kumpa mtu kesi ya mauaji au ugaidi?
Mungu ajua .,..
 
Aisee naona madaraka matamu sana, pengine uongozi kwa baadhi ya nchi za ki-afrika ni kama pepo!
 
Sasa nafikiri aya ndio mambo yalikua yana mpeleka mbowe ikulu usiku usiku. Nimeanza kupata picha hii.

Wafungwa wengi wa kisiasa wameanza kushinda rufaa zao
 
Hatari sana kutoka kumbukumbu za maktaba:

"Tunamaliza mwaka 2019 huku ...

31 Dec 2019 — ... kesi za mauaji akiwemo kamanda Oscar George Sangu aliye kamatwa kwa maelekezo ya DC wa Tanganyika" Ndg. Gaston Garubindi ...

04 August 2022

Kesi namba 28 ya mwaka 2019 ... watuhumiwa 6 makada wa CHADEMA akiwemo Oscar George Sangu wameachiliwa huru na mahakama kuu.


Habari kwa kina zinafuatiliwa katika chanzo cha masijala ya Mahakama Kuu kutoka source:
High Court Sumbawanga Registry judgments for the year ... 2022 Tanzlii

 
Kuna haja ya kuomba Ufalme wa Mungu uje, huu uliopo umefeli 100%
Hamna haki hamna maendeleo
ujinga unaongeza maradhi na vifo ya/vinaongezeka
 
Back
Top Bottom